Rudoviki Muganyizi jamani kulikoni tena, umefikia uku?
Maswali:
1. Hao vijana waliingia lini Singida? na walipanga kuondoka lini?
. Walisafiri pamoja? Na wanajuana? kama ndio kwa muda gani?
3. Walishafika Singida kabla? Kama jibu ndiyo, lini na kwa shughuli gani? Walikuwa wote?
4. Dar es Salaam wanafanya biashara pamoja, na eneo lao la biashara liko mahali gani?
5. Walisikia toka kwa nani kwamba CHADEMA walikuwa na mkutano? na waliambiwa no viongozi gani watahutubia?
6. Mbali na kuhudhuria mkutano wa CHADEMA, walifanya nini kingine siku/kabla ya mkutano huo?
7. Wanamjua Mwigulu Nchemba? au walishasikia hilo jina? na wanafikiri ni nani?
8. Wametembelea sehemu gani nyingine ndani na nje ya Tanzania kwa miezi 12 iliyopita?
9. Mbali na mkoa wa Singida ni mkoa gani mwingine huwa wananunua mazao, na lini mara ya mwisho wamenunua huko?
10.Wanaweza kusema huu ni msimu wa mazao gani Singida? Na mkoa gani unazalisha nafaka kwa wingi zaidi hapa Tanzania?
Mkuu Madoro,
Me sijakuelewa unaposema Vijana hao Wanahudumiwa na CCM wakati TBCCM imetangaza waliokamatwa na kufikishwa mahakamani ni CDM!?
Fikirieni ccm inashinda uchaguzi 2015 na Rais huyo mpya anamteua MWIGULU NCHEMBA kua waziri wa mambo ya ndani...hee mbona tutakua tunacharazwa bakora mtaani..maana huyu jamaa anaonekana ana roho ya kikatili,kijambazi na ni wa kuogopwa mno
Kesi ya mauaji ina dhamana pia?
Maswali:
1. Hao vijana waliingia lini Singida? na walipanga kuondoka lini?
. Walisafiri pamoja? Na wanajuana? kama ndio kwa muda gani?
3. Walishafika Singida kabla? Kama jibu ndiyo, lini na kwa shughuli gani? Walikuwa wote?
4. Dar es Salaam wanafanya biashara pamoja, na eneo lao la biashara liko mahali gani?
5. Walisikia toka kwa nani kwamba CHADEMA walikuwa na mkutano? na waliambiwa no viongozi gani watahutubia?
6. Mbali na kuhudhuria mkutano wa CHADEMA, walifanya nini kingine siku/kabla ya mkutano huo?
7. Wanamjua Mwigulu Nchemba? au walishasikia hilo jina? na wanafikiri ni nani?
8. Wametembelea sehemu gani nyingine ndani na nje ya Tanzania kwa miezi 12 iliyopita?
9. Mbali na mkoa wa Singida ni mkoa gani mwingine huwa wananunua mazao, na lini mara ya mwisho wamenunua huko?
10.Wanaweza kusema huu ni msimu wa mazao gani Singida? Na mkoa gani unazalisha nafaka kwa wingi zaidi hapa Tanzania?
Duh kweli MUNGU kaamua kuwaaibisha hawa Chai, Chapati na Maharage (CCM) mchana kweupe!!!!!