Sikonge City
Member
- Jul 15, 2012
- 68
- 14
Kazi ipo hilo ni Kanisa au Ukumbi wa Mikutano? ila kwa hali ya iramba ilivyo duni ukute posho ya mtumishi anatoa nchemba so ananyenyekea kuliko aliyemuita yaani Yahweh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo ni kanisa linalokubali kutumika na wala sio anaelitumia.na allegations kama hii ni kwavile imetolewa na mkuima kama wewe ambae kila mtu anajua hujui unachofanya ila ni shutuma nzito sana kwa kanisa.ila hakuna chakukufanya inabidi tukubaliane na upuuuzi wako,
Mungu anachukia nyumba za ibada kuzifanya kuwa vikao vya mambo ya dunia.kanisa hilo lisitarajie baraka za wokovu otherwise watubu
Kwani chadema 2010 hamkufanya kampeni makanisani?
Kazi ipo hilo ni Kanisa au Ukumbi wa Mikutano? ila kwa hali ya iramba ilivyo duni ukute posho ya mtumishi anatoa nchemba so ananyenyekea kuliko aliyemuita yaani Yahweh
Akivuta picha kuwa mpinzani wake mkubwa ktk uchaguzi wa 2015 ni Dr. Kitila Mkumbo nadhani tumbo la kuharisha linambana ghafla. Mwacheni kwani anayo kila sababu ya kutapa tapa.
CCM na makanisa,misikiti damu damu huku wananchi wakitaabikatupe sosi