Siri kubwa ya kuelewa lugha ni mazoezi ya lugha na mapenzi ya lugha hiyo. Shule niliyosoma pamoja na kutumia lugha ya nchi yao kwenye kila kitu ilihimiza wanafunzi kuchukua lugha za kigeni. Na wanafunzi wengi walichukua kiingereza, kijerumani, kifaransa na kufanya vizuri tu.
Kwa maoni yangu...
Hoja unayotoa ni ya msingi sana. Sasa tukirudi kwenye lugha ya kufundishia. Nadhani hili mtu aweze kuelewa vizuri mafundisho darasani ni lazima kuwepo na kiwango fulani cha lugha alichofikia. Sisi tuliowahi kutoka nje ya Tanzania na kusoma katika lugha za kigeni. Tulitumia mwaka au zaidi...
This is an excellent observation. And for those in favor of the decentralized government, they can apply a comparative analysis like this one to make a compelling argument. Rwanda is a sovereign state. As such, structurally the government of Rwanda is set up to tackle a number of important...
But but but steam inhalation works very well in India. Besides, India has got fantastic herbs such as turmeric, garlic, cinnamon etc etc etc.
How is that working?
Hile mikataba ilikuwa haina maana yoyote kwa waafrika. Kabla ya mkutano wa Berlin walitakiwa kuonyesha ni sehemu gani wajerumani, waingereza, webelgiji na wafaransa wamekubaliwa na watawala wa kiafrika kutawala. Na kuna sehemu walichonga mikataba ya uongo hili kuzuia wazungu wengine wasiingie...
They are hypocrites. If my memory serves me correctly. Trump supposedly refused to take the vaccine because he was immunized after he contracted and survived the disease. Fast forward, this week it was revealed that he was the first in line to received immunization, albeit secretly.
It won't...
It might be on those lines. The guy who discovered the counterceptive therapy did his research work in Puerto Rico even though he was from the US. In Puerto Rico, regulations aren't tight. Besides, it was cheaper.
I think at some point our colonial masters realized that colonizing a group of people is a mammoth undertaking. So they came up with a brilliant idea. They give us independency, but they retained the economic means.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.