Tatizo la watu wenye akili ndogo a.k.a nyumbu huwa hawependi kusikia maoni au ukweli tofauti wa kile walichoaminishwa. Hili ni tatizo kubwa sana TZ ndio maana haishsngazi mpaka leo akina kiboko ya wachawi wana wafuasi.
Manji ameshafariki. Kuna waliolamba tonetone zetu mpaka leo hawajatoa mapato na matumizi na wengine wameshakimbia nchini, hawa wapo hai ndio wa kuanza nao.
Utabiri wa 1,126,456 ndani ya miezi mitatu kutoka kwa wafuasi wa Braza K. Huu ndio urithi Lema aliowaachia baada ya kutokomea ughaibuni na michango yetu.
Unaenda kwa wachora ramani wanaotambuliwa kisheria, kisha unapeleka kwa mhandisi mkuu kwa ajili ya approval ukiambatanisha na nyaraka za kiwanja then ndio unapewa kibali cha ujenzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.