hi, kwa wale ambao tulifanya aptitude test bot mwezi wa 11 kazi za bot branch ya mtwara. Naomba kuuliza kuna ambao wameitwa kwenye selection interview? au bado watu hawajaitwa?
Hivi kuna nafasi za kazi zilitangazwa na DIT nafikiri mwaka huu wameshaitwa kwenye interview ya kwanza ya written. Kwa mfano mimi nakumbuka niliomba kada ya Computer studies.
nimeitwa kwenye interview 25/5 na secretariat ya ajira mahali pa kufanyia interview ni NECTA, MBEZI BEACH ONE KARIBU NA SHULE YA ST. MARYS. Mm sijawahi kwenda huko je kwa anaepajua ukipanda basi unashuka kituo gani? na ukishashuka unaelekea wapi?
wewe umemaliza chuo mwaka huu nn? inaonekana huna experience ya kuomba kazi, watu wanakaa hata miezi 7 ndio wanaitwa kwenye interview wewe unashangaa wiki mbili.
kwa wale walioitwa kwenye usaili wa tpdc tarehe 4/11 ambao umepangwa ufanyike msimbazi centre, mimi msimbazi centre napajua ila swali langu ni kwamba ni jengo gani?
kwa wale walioitwa kwenye usaili wa tpdc tarehe 4/11 ambao umepangwa ufanyike msimbazi centre, mimi msimbazi centre napajua ila swali langu ni kwamba ni jengo gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.