Recent content by zainath

  1. Z

    BOT tawi la Mtwara, kuna walioitwa?

    hi, kwa wale ambao tulifanya aptitude test bot mwezi wa 11 kazi za bot branch ya mtwara. Naomba kuuliza kuna ambao wameitwa kwenye selection interview? au bado watu hawajaitwa?
  2. Z

    Mishahara mipya ya walimu 2015/2016

    nauliza hivi kuna tofauti kati ya tgs na tgts, kwa mfano mm ni mwalimu (tutor) scale yangu imeandikwa tgs je hayo mabadiliko yanatuhusu?
  3. Z

    Written interview DIT

    swali nataka kujua kama written interview tayari au bado?
  4. Z

    Written interview DIT

    Hivi kuna nafasi za kazi zilitangazwa na DIT nafikiri mwaka huu wameshaitwa kwenye interview ya kwanza ya written. Kwa mfano mimi nakumbuka niliomba kada ya Computer studies.
  5. Z

    venue ya utumishi necta mbezi beach ndo wapi?

    nimeitwa kwenye interview 25/5 na secretariat ya ajira mahali pa kufanyia interview ni NECTA, MBEZI BEACH ONE KARIBU NA SHULE YA ST. MARYS. Mm sijawahi kwenda huko je kwa anaepajua ukipanda basi unashuka kituo gani? na ukishashuka unaelekea wapi?
  6. Z

    Nssf oral interview

    kwa hiyo wanaendelea kuita, sisi tuliokuwa bado hatujaitwa tuendelee kujipa moyo tutaitwa? tujuzeni mnaopigiwa simu.
  7. Z

    Vyeti vimeokotwa vya PAULO N JAGADI

    google jina lake, mtafute kwenye ma social networking sites.
  8. Z

    Interview Tume ya Utumishi wa mahakama ya Tanzania

    wewe umemaliza chuo mwaka huu nn? inaonekana huna experience ya kuomba kazi, watu wanakaa hata miezi 7 ndio wanaitwa kwenye interview wewe unashangaa wiki mbili.
  9. Z

    NSSF waanza kuita watu kwa ajili ya oral interview

    kwa hiyo mtu usipoitwa leo ndo ujue umekosa?
  10. Z

    Second interview NSSF

    hayo ndo majibu ya maswali ya 2nd interview?
  11. Z

    BOT Kazi za IT

    hi, naomba kujua kama kuna mtu kaitwa bot kazi za IT.
  12. Z

    Kwa wale ambao wamechoka na kuibiwa Mitandaoni

    account paypal unafunguaje describe for us please to ingie kazini.
  13. Z

    tpdc-nauliza venue ya msimbazi centre ndio wapi?

    kwa wale walioitwa kwenye usaili wa tpdc tarehe 4/11 ambao umepangwa ufanyike msimbazi centre, mimi msimbazi centre napajua ila swali langu ni kwamba ni jengo gani?
  14. Z

    tpdc-nauliza venue ya msimbazi centre ndo wapi?

    kwa wale walioitwa kwenye usaili wa tpdc tarehe 4/11 ambao umepangwa ufanyike msimbazi centre, mimi msimbazi centre napajua ila swali langu ni kwamba ni jengo gani?
Back
Top Bottom