Recent content by zainaby

  1. zainaby

    GE2020 Naomba Mungu hawa wabunge wa CCM wasirudi Bungeni

    Dua la kuku! [emoji23][emoji23][emoji23] Mungu mwenyewe huna uhusiano nae mzuri sijui hayo maombi yako utayapeleka kwa nani? Watu wenye roho mbaya za kishetani wanna mawazo kama yako. Walioshindwa maisha always huombea wenzao mabaya. Pole Sana[emoji57][emoji57]
  2. zainaby

    Baruaya pongezi kwa Rais Magufuli kutoka Arusha Mwanga

    Kwani hajakwambia? Alikuwa na mama yako mzazi
  3. zainaby

    Baruaya pongezi kwa Rais Magufuli kutoka Arusha Mwanga

    Kuandika tu hujua halafu unasema utamfanyia kampeni!!![emoji23][emoji23][emoji23] Hahitaji kufanyiwa kampeni nawewe waliomfanyia 2015 wanatosha tafuta namna nyingine ya kulisha watoto wako! Hiyo imegonga mwamba. Usiwe Kama Mbowe amelewa tilalila ameanguka kwenye ngazi anadai kavamiwa na...
  4. zainaby

    MEMBE ALONGA: Ashangazwa na namna alivyoitwa na Bashiru, amuita Musiba mwongo, mzushi na mfitini

    Hata hayo mapinduzi yenyewe hawezi...niwaambie kitu hakuna mtu anaeweza kusimama dhidi ya JPM mpaka pale atakapoona inatosha hata akitaka kuongeza muda hakuna mwenye ubavu wa kumpinga wala kumpindua.
  5. zainaby

    Tanzania imefeli vibaya kwenye vituo vya reli ya kisasa(SGR)

    Huna lolote mbea tu wewe na huna uinjinia wowote kibarua tu wewe
  6. zainaby

    Tanzania imefeli vibaya kwenye vituo vya reli ya kisasa(SGR)

    Wewe na yeye nani mbwa? Domo zito kama umemeza kokoto. Unaweza kuwa mkenya huna lolote.
  7. zainaby

    Tanzania imefeli vibaya kwenye vituo vya reli ya kisasa(SGR)

    Kwani uliambiwa stations ndizo tutakazopanda? Acha majungu ...kama usemayo ni kweli na si majungu weka jina lako halisi. Umeshindwa kuiba unakuja kuleta majungu
  8. zainaby

    Chalinze inazidi mikoa ifuatayo

    Mleta mada hapo kwenye orodha yako ungeweka Lindi ningekuelewa
  9. zainaby

    Chalinze inazidi mikoa ifuatayo

    Hahaha! Chalinze hapohapo au kunachalinze nyingine?
  10. zainaby

    Rais Magufuli ammwagia sifa Mzee Lowassa, amuita 'superman'

    Mbona umepovuka sana Mkuu? By the way rudi kwenye mada
  11. zainaby

    Rais Magufuli ammwagia sifa Mzee Lowassa, amuita 'superman'

    Hahaha! Mbona umepanic Mkuu?
  12. zainaby

    Rais Magufuli ammwagia sifa Mzee Lowassa, amuita 'superman'

    Haswaa mkuu ni kuwaletea maendeleo wananchi wote bila kujali vgama
Back
Top Bottom