mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Habari wadau
Yah kuhusu kumpongeza Rais John Pombe Magufuli.
Habari za kazi Rais wetu mpendwa John Pombe Magufuli sisi ni vijana wa Arusha tunapatikana apa mwanga sehemu ambayo ilikua kambi kuu ya upinzan kwako Arusha. Tulipambana kuakikisha Arusha na Hata Tanzania mzima tunaakikisha hupat Kura.
Ila kupitia wewe tumeamini apangalo Mungu binadam hawezi kupangua kwani pamoja na juhud zetu zote bado ukiendelea kuwa kipenzi Cha watu na kuendelea kutushinda kwa mbali Sana.
Kwa muda huu ambao umeweza kupata nafasi ya kutuongoza kwa miaka minne umeweza kudhihirisha kua wewe ni mtu ambae unafaa kutuongoza Tena kwa miaka ijayo japo Arusha vijana wengi na wazee walikua wakudanganywa kua chadema ni chama Cha wazee wetu na kusema lazima tukipiganie kwa jasho na kwa dam. Baada ya Magufuli kuiongoza nchi hii kwa muda ambao ume ongoza imesaidia kutudhihirishia kua Chadema wanatumia Uchaga kukilinda chama na Sio Sera.
Kwa sababu chadema Mpaka leo toka tumeambiwa waasis wa chama ni babu zetu wa kichaga lakin chama hakina maendeleo Zaid ya kashfa za wizi na utapel wa Ela za Wana CHADEMA.
Mimi mboya wa mwanga kwenye kampeni tunaahidi kujiunga na wewe ili tukupe nguvu Katika harakati zako.
Heche na Bulaya msitafute tumesha fanya maamuzi sisi Sio mamluki wenu Tena hatuwezi kua tunaitukana serekal ambayo ndio ndoto nzuri kwa Taifa letu Kwan tutakua tunaaribu future ya watoto zetu.
Mimi mboya na wenzangu kina Michael timeamua kuacha kuitukana Serikal asanteni.
Yah kuhusu kumpongeza Rais John Pombe Magufuli.
Habari za kazi Rais wetu mpendwa John Pombe Magufuli sisi ni vijana wa Arusha tunapatikana apa mwanga sehemu ambayo ilikua kambi kuu ya upinzan kwako Arusha. Tulipambana kuakikisha Arusha na Hata Tanzania mzima tunaakikisha hupat Kura.
Ila kupitia wewe tumeamini apangalo Mungu binadam hawezi kupangua kwani pamoja na juhud zetu zote bado ukiendelea kuwa kipenzi Cha watu na kuendelea kutushinda kwa mbali Sana.
Kwa muda huu ambao umeweza kupata nafasi ya kutuongoza kwa miaka minne umeweza kudhihirisha kua wewe ni mtu ambae unafaa kutuongoza Tena kwa miaka ijayo japo Arusha vijana wengi na wazee walikua wakudanganywa kua chadema ni chama Cha wazee wetu na kusema lazima tukipiganie kwa jasho na kwa dam. Baada ya Magufuli kuiongoza nchi hii kwa muda ambao ume ongoza imesaidia kutudhihirishia kua Chadema wanatumia Uchaga kukilinda chama na Sio Sera.
Kwa sababu chadema Mpaka leo toka tumeambiwa waasis wa chama ni babu zetu wa kichaga lakin chama hakina maendeleo Zaid ya kashfa za wizi na utapel wa Ela za Wana CHADEMA.
Mimi mboya wa mwanga kwenye kampeni tunaahidi kujiunga na wewe ili tukupe nguvu Katika harakati zako.
Heche na Bulaya msitafute tumesha fanya maamuzi sisi Sio mamluki wenu Tena hatuwezi kua tunaitukana serekal ambayo ndio ndoto nzuri kwa Taifa letu Kwan tutakua tunaaribu future ya watoto zetu.
Mimi mboya na wenzangu kina Michael timeamua kuacha kuitukana Serikal asanteni.