Mimi nilipigiwa saa 1 na dakika kadhaa jioni,akaniambia napiga simu kutoka NSSF ,dada akaniuliza unaitwa fulani,nikamjibu ndiyo,akaniambia unatakiwa ufike kwa Interview ya pili ya NSSF itafanyika DUCE namba yako hii xxxx,mda hakunitajia akakata simu,naomba waliambiwa waende DUCE wanijurishe time...