ila diamond ana pesa nying kama bakharesa maana kila sehemu anazimwaga tu mara anunue tuzo zote anazoshinda mara awahonge watangazaj wa tv station wasipige nyimbo za kiba,duh kwel diamond ni bilionea
ameshinda category ipi na ipi jaman.yaan kama nawaona mashabiki wa kiba mwakan watakapopiga kura kwa fujo katka tuzo za ktma maana uwezo wao wa kuchukua tuzo ndo upo hapo
kama kushinda mtumbuizaj bora ni rahisi bac kna crstian bela fallypupa na bob junior wangeshinda kila mwaka maana wao wanakata mauno kisawasawa.hata hvyo mbona wasanii weng wanakata tu mauno hata kiba au hujawah kumwona?kama hujamwona tafuta video ya dushelele umwangalie japo cku hz mauno...
kwani kiba hatak kuambiwa ni msanii mwenye video bora ya mwaka,mbona anamalza hela kwenda sauz kwa kina godfather kama hatak angebak kwa kina adam juma au ndo ule mwendelezo wa SIZITAKI MBICHI HIZI
kama hzo ni za vichochoroni tuzo zipi ni za barabarani?ktma au maana daimond ana tuzo kbao za kimataifa kuanzia mtv,chanel o na nyngnezo.kba mwisho kariakoo duniani kila mtu PLATNUMZ BABY
ingekuwa ajabu kba kushinda yaan mtu ashindane na wasanii wakubwa wa Afrika halafu ashindwe kushinda tuzo ya msanii bora wa east afrika.na huyo kiba ana nyimbo gan ya kushindana na diamond.DIAMOND NDO HABAR YA AFRIKA WANAIJA WENYEWE WANAMUOGOPA
mbona wasanii kibao waliwahi kuchaguliwa katika tuzo za kimataifa bila kolabo,mwaka 2010 diamond alichaguliwa kwenye tuzo za mtv base na nyimbo yake ya mbagala,ulkuwa kwenu igunga nini mwaka huo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.