Recent content by Zachanda

  1. Z

    Yanga mnakwama wapi? Kwanini uchaguzi msifanyie ukumbi wa kimataifa kama Simba?

    HUNA HOJA TENA KUNDULE LA KWAKO ULIKUWA HULIONI...??? YAANI MWAKA MMOJA HUU NDIO KILA KITU MMESAHAU....???
  2. Z

    Mwakalebela amkimbia Msigwa , aenda Yanga

    Well said broo..!! Umemsambaza Mbaya jamaa anaonekana hajielewianaushabiki maandazi
  3. Z

    Wanawake wa kisukuma ndo wife material kwa sasa!

    Hukijui ukisemacho wewe...!! Hakuna watu wabaya na ma-silence kila kama wanawake wa kisukuma...!! watu ni nyoka hawafai Mimi nimeona mengi sna ya hawa watu...!!
  4. Z

    Dada mmoja aliniuliza

    Attrative fantastic & adiviace...!! Hapao jirani hakuna bar uagize bia nakuja kulipa right now
  5. Z

    Shule zao hazifanyi vizuri, ila wanatoa top ten ya Matajiri

    Mjinga hawezi kuwa tajiri kama kawa tajiri huho c mjinga ni bonge la mjanja
  6. Z

    Gaudensia Kabaka aeleza sababu za kuzuia Ujenzi wa Msikiti UDOM na kuhamisha wafanyakazi wa hapo

    FIKRA NA MAWAZO MGANDO..!! KWA MFANO TUMEPATA WAKRISTO WENGI THEN...??? NDO WATENDE PASINA HAKI...??
  7. Z

    Ligi ya Mabingwa Afrika: Simba SC 4-1 Mbabane Swallows

    Sababu ya kuteseka ni ipi..?
  8. Z

    Tanzania Premier League: Simba SC 0 - 0 Lipuli FC zatoshana nguvu

    BOCCO ANA MGOMO NASIKIA HAJAMALIZIWA HELA ZA. USAJILI...!!
  9. Z

    Kocha wa libya; Fei toto ondoka Afrika haraka ulaya ni sehemu sahihi kwako kwa wakati huu

    SAWA ALITOROKA....!!! KABLA YA KUTOROKA ALIKUWA SIMBA AU YANGA...????
  10. Z

    Ukiamua kuwa na mahusiano na mume wa mtu lazima ukubali kuwa mtumwa wa mambo yafuatayo

    Sasa kubali kuwa mke wa pili maana hamtaki ndoa zenye mke zaidi ya mmoja lakn kuwa mchepuko fresh...!! Kuwa official upate haki za msingi
  11. Z

    Dr. Bashiru Ally: Watu hawana imani na mfumo wa upigaji kura

    DR. BASHIRU IMANI YAKE INAMKATAZA KUUKUBALI UJINGA ANAOUONA UKITENDEKA NA YEYE AKIWA KAMA MTENDAJI MKUU WA MCC.
  12. Z

    Mzigo ni wako kwa nini wakupangie matumizi

    Na harufu ya mzoga wa panya inahusika hapo
  13. Z

    John Bocco anaweza cheza mechi ya Simba na Yanga tarehe 30/09/18 TFF wakitaka.

    MIMI NAOMBA ARUHUSIWE TU KUCHEZA MAANA WALA HANA MADHARA YEYOTE KWA YANGA NA ILI WATU WASIJE PATA SABABU YA KUJAKUSINGIZIA MAANA KELELE TUU BOKO BOKO UTADHANI AKICHEZA KUNA KIPYA ATAFANYA...!!!
  14. Z

    John Bocco anaweza cheza mechi ya Simba na Yanga tarehe 30/09/18 TFF wakitaka.

    Unamjua anaeongoza kwa magoli mpaka sasa kweli wewe...??? Anyway Muda utazungumza. Hayo Maneno hayatacheza
  15. Z

    John Bocco anaweza cheza mechi ya Simba na Yanga tarehe 30/09/18 TFF wakitaka.

    Kwani hata akicheza kuna nn kipya atafanya.....????
Back
Top Bottom