Recent content by Zac96

  1. Z

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Umemkopesha rafiki yako wa karibu Tshs 400,000 mwaka jana, lakini tokea wakati huo amekuwa mgumu kulipa deni hilo, kitu kilichochangia kudorora kwa urafiki wenu. Unamuomba akulipe basi walau Tshs 200,000 tu alafu umsamehe hiyo nyingine kwakuwa kwa sasa una ukata na matatizo na una uhitaji na...
  2. Z

    Series (Special thread)

    Unapukuaje hii mzee.. mm nashindwa asee
  3. Z

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Oyaaaaaaa kuna thread ya jackpot only?
  4. Z

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sure odd hyo mzee Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Z

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huu unatoka Pdidy Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Z

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu kwema.. mi naamin kweny perfect12 lkn perfect12 yenyew co poa.. afu naona huku mnabutua mikeka tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Z

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Nipo dar (mbezi beach).. Wazo la kulima limekuja tu, na sijui nilime. Nisaidie kwa mawazo.
  8. Z

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Nina mtaji wa Tsh.600,000. Nataka nianze kilimo. Naomba mawazo yenu.
Back
Top Bottom