Recent content by Z K Ahmad

  1. Z K Ahmad

    Moja kati ya ndoto za kila kijana ni kuwa na maisha mazuri

    Muhimu kwako Ni kuhakikisha unafuat Kile unachoambiw ili kufika
  2. Z K Ahmad

    Moja kati ya ndoto za kila kijana ni kuwa na maisha mazuri

    Je, Kama Kijana umejipanga vipi kuyaandaa hayo maisha_ au imekuwa Ni Kama simulizi kwa vijana wenzio bila kuwa na mipango_. Vijana tujiajiri! Vijana tujitume_! Tuwe wabunifu, wapo vijana wanafuga na wanaendesha maisha yao vizuri na wengine wanalima, wengine wanajikongoja kwa Mambo madogo ya...
  3. Z K Ahmad

    Mwenyezi Mungu ndio kimbilio langu

    Ninachohitaji kumaanisha hapa Ni kuwa watu Wengi wamekuwa wakikosa matumaini kutokana na Mambo kadhaa yanayowaandama Kwenye maisha yao. Huwapelekea mahala kukata tamaa yakuendelea na Mapambano_. Kuna Kijana mmoja , alikuwa ni muumin ialiezaliwa katika dini ambayo kwa uwiano wake ndo sinj yenye...
  4. Z K Ahmad

    Mahusiano yangu sikuwahi kuyaendesha kwa pesa

    Dah ndugu ulikuwa wapi siku zote' Yaan yamenifungua haya machache yenye uzito wake
  5. Z K Ahmad

    Mahusiano yangu sikuwahi kuyaendesha kwa pesa

    Ndio sikuwahi lakini Sasa naona kabisa yanahitaji pesa_. Hapo awali pesa zilipokuwa hazikauki mifukoni mwangu_ nilikuwa sioni haja yakuzitoa kwa mwenzangu kwakuwa alikuwa sio wakuomba_ lakini penye ulazima nilizitoa ili afurahi_ Sasa ni katika kipindi ambacho, sio Mimi Wala yeye Kama vijana...
  6. Z K Ahmad

    Je, kuna watu wangapi wapo nawe bega kwa bega

    _ Support (Kuungwa mkono) na watu wa karibu au Ndugu, je ina mchango wowote juu ya mafanikio yako. Ni Mara kadhaa tumekuwa tukiambizana kuwa watu wa karibu hawana msaada hivyo tunatafuta na kujenga mahusiano mapya katika kukua kiuchumi_. Je! Hili limekusaidia vipi kwa wewe uliefanikiwa.
  7. Z K Ahmad

    Hakuna Mwanamke mrembo zaidi Duniani

    Ndio hakuna Mwanamke Mrembo zaidi ya wengine duniani_ Kijana wakiume mfanye wa thamani Mwanamke wako, ambae teyari ameyavumilia mapungufu na madhaifu yako kwa kipindi chote cha mahusiano yenu. Love and Care_..
  8. Z K Ahmad

    Vijana wa Kitanzania tutajiajiri vipi au kutengeneza uchumi binafsi ili kuondokana na kuwa tegemezi?

    Krb sana_ tuma msg details zako wapi unapatikana_ huko ntakupa maelekez yote
  9. Z K Ahmad

    Vijana wa Kitanzania tutajiajiri vipi au kutengeneza uchumi binafsi ili kuondokana na kuwa tegemezi?

    Hapa ndiposa unahitajika kuweka hiyo Idea ili vijana waichambue nakuikaribia_ karibu tuweze kuipokea kila wazo litaheshimiwa
  10. Z K Ahmad

    Je! Kwa wataalamu Nini wazo Lako la Msingi juu ya hoja hizi

    Utangulizi: Nakaribisha Mawazo ni mitazamo juu ya hoja hizi, Kwa Watu wote. 1; Vijana wa sasa na fursa zilizopo. 2; Fursa zinazojenga vijana na zinazobomoa maendeleo yao. 3; Maarifa ya uwekezaji na kukua kiuchumi kwa vijana. 4; Kujikwamua kunahitaji jitihada. 5; Mafanikio ya Uwekezaji...
  11. Z K Ahmad

    Simulizi gani ungependa kuziona baada ya kuwa umezisoma?

    Yaani ziwe katika mfumo wa Tamthilia ama Filamu. Weka hapo chini_ Kisha sisi (KS Entertainment kwa kushirikiana na muandaaji wa hiyo simulizi tutafanya Jambo kwaajili yenu).
Back
Top Bottom