mkuu yaani mpaka nimecheka maana sa izi ukiwauliza kitu CCM itakua 2014, yaan mtu akae chuo miaka 3 kihalali afu mnataka asiseme ka nimekaa chuoni? Wapi mnyika amesema ye ni Graduate wa UD? Bomba la mchina lipo kwetu huu ni mwaka wa nne halitoi maji afu unataka cheti kwa hoja hii jaman..?
Mnyika amezaliwa kizazi tofauti na kinachomhitaji ana mambo makubwa kuliko kwa hiki kizazi cha misukule. Just imagne mtu anaulizwa kwanini ahadi ya kuleta maji Dar Feb, 2013 haijatekelezwa anasema ilani ni ya miaka 5. Af sisi tunachecheka tu.
Bara tatizo la udini mi naweza sema halipo na kule Zanzibar kuna tatizo kubwa zaidi ya udini. Ni vigumu kutumia udini kwenye maeneo yenye mchanganyiko wa watu kwa hapa Bara na ufanikiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.