Recent content by Yuzzo2050

  1. Yuzzo2050

    Kuna jamaa mmoja wa bodaboda hapa mtaani namchapia mke wake Sasa nahisi kama ameanza kujua

    Unataka tukushauri nn mkuu? Tu support dhambi yako? Kama kwako umeona umefanya vyema sawa, ila jua mtenda hutendewa pia na maumivu yako hutoyabeba.
  2. Yuzzo2050

    Nifanyeje wanangu wawe na akili nyingi darasani

    Ninyi wazazi mnazo au mnataka kutwisha watoto mizigo iliyowashinda nyie?
  3. Yuzzo2050

    Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

    Mk Mkuu huyu mtoa maada alishatangulia mbele za haki mda kidogo .
  4. Yuzzo2050

    Simulizi ya kipelelezi: Document number 72 (Nyaraka namba 72)

    FEBIANI BABUYA barikiwa sana mkuu
  5. Yuzzo2050

    Kwa damu ya Yesu Roho yangu nimemkabidhi Yesu Pekee

    I don't judge, but maoni yangu ungetuliza kichwa hauko sawa. Alafu sio kila kitu uandike huku unafanya watu waone una shida sehem.
  6. Yuzzo2050

    Jitahidi usifike miaka 30 bila kuoa au kuolewa

    Na kama amekuelewa akuelewe vyema, inahitajika busara kutambua maana ya hii comment. Imebeba mengi sana
  7. Yuzzo2050

    Hatimaye nimempata!

    All the best
  8. Yuzzo2050

    Simulizi ya kipelelezi: Document number 72 (Nyaraka namba 72)

    FEBIANI BABUYA kama haiendelei ni bora ukasema kwa humu umeishia hapa . Kuliko kila saa tunapiga Doria hapa kuangalia n upotevu wa muda
  9. Yuzzo2050

    Kijana (30) amuua mpenzi wa mama yake (34) kisa wivu wa kimapenzi

    Acha chuki mkuu, hapo wachagga wamefikaje? We umejuaje kabila la huyo jamaa? Be inspired instead of hating .
  10. Yuzzo2050

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    singanojr tuhurumie mkuu, tulikubali kusubiri bila tatizo. Tukumbuke na sisi kaka
  11. Yuzzo2050

    Hadithi za The Story Book zinatolewa Wikipedia, hazina ubunifu

    Kwahyo ulitaka atunge story zake anazojua yeye mwenyewe?
  12. Yuzzo2050

    Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

    Walevi wote tunaokunywa pombe kila siku alafu tunatimiza wajibu wetu , tunajitambua sana. Kwanza huwez kua mnywaji Huna uhakika wa income yako .
Back
Top Bottom