Miaka kadhaa nyuma pale magambani tulifanyaga mgomo kufuru pamoja na kuwapiga polisi kadhaa,Aisee asubuhi yake alikuja DC na OCD na kutupiga 'mkwara' mzito,Uzuri ni kua sisi kidato cha sita ambao tulikua wahanga wa huo mgomo tulibakiza 2 weeks kwenda NECTA, Madogo tuliowaacha waliishi kwa...
Mkuu ukifatilia sana haya mambo kichwa chako chaweza pata moto.
Iko hivi,waasi wengi ambao wapo katika misitu ya congo wanapewa financial assistance na wazungu,ili mzungu aendelee kuiba madini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Piga kazi ndugu,usisikilize maneno ya hao majirani zako.
Kikubwa muombe mungu kulinde dhidi ya shari na hila zao,Maana hapo wanapoelekea ni kukufanyia mambo ya 'utamaduni'.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.