Habari wakuu
Kuna haka ka kitu kapo fb na pia play store wana app inaitwa credit fund.. Wanasema wao wanatoa Mikopo,,unaweka akiba then ndo unakopa...
Nilikua naomba kujua anae wafahamu hawa jamaa coz nahic wezi hivi ,ni rahic mno kupata Mikopo mpaka inatia shaka ...wanasema ofisi zao zipo dar...
Hapo katumbo lutu! Akizinduka siku imepita na anajipanga kuji2pia tena.Tehe tehe tehe ndo maana haishangaz kuona bei za vyakula kwa market hazikamtiki kipindi hiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.