Recent content by Yusuph mbilinyi

  1. Y

    Credit fund Mikopo on line

    Habari wakuu Kuna haka ka kitu kapo fb na pia play store wana app inaitwa credit fund.. Wanasema wao wanatoa Mikopo,,unaweka akiba then ndo unakopa... Nilikua naomba kujua anae wafahamu hawa jamaa coz nahic wezi hivi ,ni rahic mno kupata Mikopo mpaka inatia shaka ...wanasema ofisi zao zipo dar...
  2. Y

    KIPINDI CHA ORIGINo KOmEdI

    hata uwe msafi kiasi gani,huwezi kuchimba jalala sebuleni
  3. Y

    Mapenzi na chuo vyuo vikuu Tanzania

    Tehe tehe hana loan halafu wewe una loan,take care unaweza ukageuzwa mbuzi wa kafara hapo.
  4. Y

    wale wa ifm karibun xana

    I like account,i like IFM.KAMA UPO ifm nakupengeza sana..
  5. Y

    Majina ya TCU haya hapa na mikopo waliyopata

    mkuu nicheck:Yusuph n Mbilinyi.
  6. Y

    Heslb vipi jamani????

    Be cul bro! After tarehe 29 mwez huu 2tajua tu.
  7. Y

    Ifm ifm

    nipo hapo.BA.
  8. Y

    Tct tcu wana2changanya

    hili hata mimi nimeliona,ila cha msingi wame ni show to Ifm hizi mbwembwe zao watajibeba huko huko.
  9. Y

    UMECHAGULIWA PROGRAM IPI na NI CHUO GANI??

    Mhasibu mtarajiwa;Bacheror of Accountancy at IFM.hongereni wote!Mzigo mkubwa kwa air so 2jipange tena.we have 2 try it harder.
  10. Y

    Umechaguliwa chuo gani? Je kimekuridhisha?

    BA at IFM,WAMENITENDEA HAKI KI UKWELI.
  11. Y

    TCU SELECTIONS OUT "once and for all"

    Upo na mimi mkuu.jaman 2mezungushwa sana,2mesubiri sana,it z our turn now!
  12. Y

    Sizitaki Mbichi Hizi!!

    Kumbe tumetoka mbali!
  13. Y

    Huu mchezo bhana! Teh

    Umetisha saaana kamanda.100% nimeongeza siku za kuishi.BIG UP MAN.
  14. Y

    Mambo ya futari hayo.....

    Hapo katumbo lutu! Akizinduka siku imepita na anajipanga kuji2pia tena.Tehe tehe tehe ndo maana haishangaz kuona bei za vyakula kwa market hazikamtiki kipindi hiki.
  15. Y

    Misemo ya Mpoki jamani!

    Kama maisha ni godoro basi angalia wewe usiwe kikojozi.
Back
Top Bottom