Umechaguliwa chuo gani? Je kimekuridhisha?

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,192
3,353
dah wadau since washatuletea selection hawa tcu sasa tunapumua mana tulianza nao kwenye tatizo la voucher zao na kuchelewesha matokeo anyway ndo hivyo ki2 kishatoka ,wadau ningependa tuambiane ulipochaguliwa na je hicho ndo chuo ulichotegemea kukipata kwa namna nyingine je wamekutendea haki?
 
dah wadau since washatuletea selection hawa tcu sasa tunapumua mana tulianza nao kwenye tatizo la voucher zao na kuchelewesha matokeo anyway ndo hivyo ki2 kishatoka ,wadau ningependa tuambiane ulipochaguliwa na je hicho ndo chuo ulichotegemea kukipata kwa namna nyingine je wamekutendea haki?

Kweli hii ndio tcu yaani we acha tu unaingiza program code ya chuo kingine system inatema inakuletea program code tofauti kabisa na course tofauti
 
Sio kwamba nimeridhika tu na Degree program niliyo chaguliwa lahasha bali na furaha kubwa sana kwa kuchaguliwa 1st choice yangu!

SHUKRANI ZIENDE KWA MKUU SENATOR KWA MCHANGO WAKE HAPA JF
 
Sio kwamba nimeridhika tu na Degree program niliyo chaguliwa lahasha bali na furaha kubwa sana kwa kuchaguliwa 1st choice yangu!

SHUKRANI ZIENDE KWA MKUU SENATOR KWA MCHANGO WAKE HAPA JF

pamoko sana brah!
 
Sio kwamba nimeridhika tu na Degree program niliyo chaguliwa lahasha bali na furaha kubwa sana kwa kuchaguliwa 1st choice yangu!

SHUKRANI ZIENDE KWA MKUU SENATOR KWA MCHANGO WAKE HAPA JF

itakuwa vibaya kama ukiitaja.......?
 
Nimechaguliwa mzumbe na nimeridhika,ila naona kama vile tuko kimya sana wale wa mzumbe.Mpo?
 
nadhani yule jamaa aliyehaxk tcu ndo chanzo kama huamin hii site any way mshachaguliwa kazi sasa ni kupiga msuli
 
Back
Top Bottom