Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
dah wadau since washatuletea selection hawa tcu sasa tunapumua mana tulianza nao kwenye tatizo la voucher zao na kuchelewesha matokeo anyway ndo hivyo ki2 kishatoka ,wadau ningependa tuambiane ulipochaguliwa na je hicho ndo chuo ulichotegemea kukipata kwa namna nyingine je wamekutendea haki?