Mzeee kwenye point ya Mafanikio kipengere namba moja ni vibaya sana kutotambulisha watoto wako wa nje Kwa bi mkubwa brother I had a lot of experience narudia tena hiyo ni mbaya sana
Jukumu la kufua nguo za ndani ni la Mke hili likae hvo na halina mjadala lakini baba hata ukifanya hvo katika kusakafia pendo lenu basi unafanya hata Mara moja moja hii inasaidia kufanya Mpenz wako ajihisi ni mwenye kupendwa zaidi na hata ukifanya kosa basi una weza sameheka 😅
Mimi baada tu ya kufika age ya 16 nilikuwa napiga Mbupu kila mdada wa kazi atakayefika pale home na mpk nachomoka home hakuna mtu alipata hisi wala tambua hiyo mbanga 😂😂😂
Nakumbuka Mama yangu Mlezi alikuwa ananihamsha asubuhi saa Tisa kufanya kazi za ndani na kulala saa Sita Usiku na alikuwa akiniambiaga utakiona cha mtema kuni yaan nyumba hii mpk uhame ila cha ajabu kahama yeye na Yale mateso kwangu yamenifunza jinsi ya kuishi na walimwengu like hata siku wife...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.