Recent content by yusufu kiba

  1. yusufu kiba

    Mrema 1995 na Lowassa 2015

    Edo anajuwa mbinu zote za kisiasa, na anafahamu kupanga mambo na ana ushawishi ndio maana hata makundi Mbalimbali yalikuwa yanamtumia ktk harambee zao. Nani alikuwa anafanikiwa zaidi yake?
  2. yusufu kiba

    Mrema 1995 na Lowassa 2015

    Miaka 20 ni mingi sana katika siasa, na mbinu za mrema na Edward ni tofauti kabisa, Kumbuka kuwa hata jakaya bila Lowasa leo asingekuwa raisi.
  3. yusufu kiba

    Tahadhari kali kwa nyote mlio na magari binafsi; chunga sana na waambie wengine!

    Kila neno ulilosema linamanufaa makubwa kwa madereva wote. Aksante sana.
  4. yusufu kiba

    Msekwa amshukia Kingunge

    Mzee Kingunge yuko sahihi kama kanuni walizojiwekea ccm zilikiukwa lazima aseme, his mambo ya kuoneana haya ndo yameifikisha nchi yetu pabaya. Hata kama ulikuwa team lowasa ulichosema kimefika.
  5. yusufu kiba

    Takwimu juu ya CHADEMA, Kimekuwa chama kikubwa mpaka kimepitiliza

    Naikubali Chadema, walidhihirisha kwa kutetea umma dhidi ya hujuma na ufisadi bungeni.
Back
Top Bottom