Mrema 1995 na Lowassa 2015

Mrema 1995 na Lowassa 2015

Edo anajuwa mbinu zote za kisiasa, na anafahamu kupanga mambo na ana ushawishi ndio maana hata makundi
Mbalimbali yalikuwa yanamtumia ktk harambee zao. Nani alikuwa anafanikiwa zaidi yake?
 
Kama mnakumbukumbu nzuri mwaka1995 ndugu mrema alikua mashuhuri sana na ni mtu aliyekubalika sana ndani ya ccm kama waziri katika serikali ya ccm .
Jamaa alikua na enfluence kubwa sana mpaka watu wakaamini hana mpinzani.
Alipohama ccm nakumbuka kuna siku watu walisukuma gari lake likiwa limezimwa kwa umbali mrefu kutoka usalama mpaka uwanja wa urafiki dar es salaam palikua na mkutano pale huku fikra za watu wakiamini ndie raisi mtarajiwa kipindi kile
Hebu tujiulize ndugu mrema alifanikiwa??
Ndugu mrema yuko wapi sasa??
Ccm na mrema wakoje kwa sasa??

Same story imetokea tena je:::

Hizi tambo za mheshimiwa lowasa kuisemea mbovu ccm zinatoka ndani ya moyo wake ??
Je mheshimiwa lowasa kwenda chadema ni kwa mapenzi ya dhati au tatizo ni hii tasisi ya uraisi??
Je baada ya uchaguzi lowasa na chadema wakafeli wataichukuliaje ccm??
Haya ni baadhi ya maswali nimekua najiuliza majibu yake naona kama yana sintofahamu ndani yake

Time will tell
 
hatunywi sumu hatujinyongi..ccm mbele kwa mbele
..tumeipenda wenyewe
..chaguo letu wenyewe
..na wavimbe wapasuke
..watajijua wenyewe
..WACHA WAISOME NAMBA EEEEH
..CCM MBELE KWA MBELE




ng'ara CCM ng'ara
tobico CCM tobico
.........
 
pole sana ndg yangu kwa mawazo yako haya.


hatunywi sumu hatujinyongi..ccm mbele kwa mbele
..tumeipenda wenyewe
..chaguo letu wenyewe
..na wavimbe wapasuke
..watajijua wenyewe
..WACHA WAISOME NAMBA EEEEH
..CCM MBELE KWA MBELE




ng'ara CCM ng'ara
tobico CCM tobico
.........
 
Kama mnakumbukumbu nzuri mwaka1995 ndugu mrema alikua mashuhuri sana na ni mtu aliyekubalika sana ndani ya ccm kama waziri katika serikali ya ccm .
Jamaa alikua na enfluence kubwa sana mpaka watu wakaamini hana mpinzani.
Alipohama ccm nakumbuka kuna siku watu walisukuma gari lake likiwa limezimwa kwa umbali mrefu kutoka usalama mpaka uwanja wa urafiki dar es salaam palikua na mkutano pale huku fikra za watu wakiamini ndie raisi mtarajiwa kipindi kile
Hebu tujiulize ndugu mrema alifanikiwa??
Ndugu mrema yuko wapi sasa??
Ccm na mrema wakoje kwa sasa??

Same story imetokea tena je:::

Hizi tambo za mheshimiwa lowasa kuisemea mbovu ccm zinatoka ndani ya moyo wake ??
Je mheshimiwa lowasa kwenda chadema ni kwa mapenzi ya dhati au tatizo ni hii tasisi ya uraisi??
Je baada ya uchaguzi lowasa na chadema wakafeli wataichukuliaje ccm??
Haya ni baadhi ya maswali nimekua najiuliza majibu yake naona kama yana sintofahamu ndani yake

Time will tell

No same story!!!!

Kipindi cha mrema Nyerere alikuwepo,nadhani unaelewa kazi ya baba wa taifa!

Kipindi cha lowasa,hayupo.

Wakati wa mrema,watz wengi walikuwa bado hawajaamka uki compare na sshv ,hususani vijana wengi sshv na watz kwa ujumla wameamka Sana.

Hata mawasiliano kipindi kile na ss tofauti
Habari zinawafikia watu haraka sn,hivyo kurahisisha ht ushawishi!

Mtandao wa kuiba kura nk,el anaujua vzr sn !!

Ushawishi,wabunge,wenye viti wa mikoa/wilaya majumba ya ibada,vyuoni nk!
Kasikazini ndo kabisaaa!

Hivyo,tofauti ni kubwa ,hizo chache tu!
 
Uc2generelize wengne hatubebeki huko kwenye miba ya ukabila ujipange sana especially wahaya ni noma hawasomeki kwenye kura ndo utawatambua vema <magufuli> kwenda mbele
Kanda ya ziwa tupo na lowassa.
 
Kama mnakumbukumbu nzuri mwaka1995 ndugu mrema alikua mashuhuri sana na ni mtu aliyekubalika sana ndani ya ccm kama waziri katika serikali ya ccm .
Jamaa alikua na enfluence kubwa san
a mpaka watu wakaamini hana
mpinzani.
Alipohama ccm nakumbuka kuna siku watu walisukuma gari lake likiwa limezimwa kwa umbali mrefu kutoka usalama mpaka uwanja wa urafiki dar es salaam palikua na mkutano pale huku fikra za watu wakiamini ndie raisi mtarajiwa kipindi kile
Hebu tujiulize ndugu mrema alifanikiwa??
Ndugu mrema yuko wapi sasa??
Ccm na mrema wakoje kwa sasa??

Same story imetokea tena je:::

Hizi tambo za mheshimiwa lowasa kuisemea mbovu ccm zinatoka ndani ya moyo wake ??
Je mheshimiwa lowasa kwenda chadema ni kwa mapenzi ya dhati au tatizo ni hii tasisi ya uraisi??
Je baada ya uchaguzi lowasa na chadema wakafeli wataichukuliaje ccm??
Haya ni baadhi ya maswali nimekua najiuliza majibu yake naona kama yana sintofahamu ndani yake

Time will tell
Amka wewe acha kuota mchana! Demografia ya wananchi wa mwaka 1995 na ya mwaka 2015 ni vitu viwili tofauti kabisa, kuanzia kiwango cha elimu, expusure, media. Leo hii unaweza kuzungumza au kutoa ujumbe kwa watu milioni 7 kwa muda huo huo na ukapata maoni yao. Na mwaka 1995 kulikua na TV station 2 tu na redio 3 na kati ya hizo 1 ndio inasikika zaidi na niya serikali. Leo hayupo Nyerere wa kuwalainisha wananchi.
 
hatunywi sumu hatujinyongi..ccm mbele kwa mbele
..tumeipenda wenyewe
..chaguo letu wenyewe
..na wavimbe wapasuke
..watajijua wenyewe
..wacha waisome namba eeeeh
..ccm mbele kwa mbele




ng'ara ccm ng'ara
tobico ccm tobico
.........

wewe umetoka milembe na bado hujapona ila ulitoroka.
 
Back
Top Bottom