Recent content by Yusuf Kashaju

  1. Y

    Kwanini Tanzania inakimbilia nyasi bandia wakati nchi zilizoendela zimekataa kuzitumia viwanjani

    Hivi nyasi bandia zinazui magugu na nyasi nyingine kuota chini, je hapo suala la ajira umeifikiria kwa vijana wetu maana siyo kupunguza gharama peke yake. Je majerui kwa wachezaji, maana udongo mchezaji anapokita udongo na nyasi ni rahisi kusambaa, sio rahisi kwa nyasi bandia maana zimesukwa...
  2. Y

    Kwanini Tanzania inakimbilia nyasi bandia wakati nchi zilizoendela zimekataa kuzitumia viwanjani

    Wasalaam, Nimeshangaa kuona kupitia bajeti ya 2021/22 serikaliri inaondoa kodi kwenye nyasi bandia ili kuhamasisha matumizi yake nchini, cha kushangaza sera hii imeungwa mkono na wabunge kama kwamba hawana uelewa wa masuala ya kimataifa ya mpira, hata TFF sikuwasikia wakitia neno wakati wanajua...
  3. Y

    Mradi wa Bandari Bagamoyo bila uwazi wa ubovu wa mkataba, ni usaliti wa Bandari zilizopo

    Katika mikataba ya uwekezaji au biashara kati ya mataifa masikini na mataifa yaliyoendelea au baina ya makampuni ya kimataifa na mataifa masikini ni muhimu sana kuwa makini na rasimu ya kwanza ya mikataba, ukichemka hapo umekwisha uko mbeleni hakuna tena linaloweza kubadilishwa. Hata ukitafuta...
  4. Y

    John Pombe Magufuli: The bravest hero I ever knew

    Funzo moja kubwa ni kuwa binadamu hatakiwi kujiamini kupita kiasi, you cannot be a lonely soldier and expect to win the war if not the battle 📷 you need real friends and allies
  5. Y

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Kiongozi ukiwafunga watu wenye akili ya kuzalisha ajira, hizo ajira utazitoa wapi kwa hawa watanzania wanaozaa sana
  6. Y

    Tanzania-Kenya Relations will remain uneasy forever

    Naona watu wengi hawajui kuwa kuwa Russia na USA ni majira, hawa ni majirani wanatenganishwa na arctic , hivi sasa wako wanagombania rasilimali za uko baada ya theleji kuanza kuyeyuka 🎌
  7. Y

    Tanzania-Kenya Relations will remain uneasy forever

    Issue hapa ni ukweli wa uchambuzi kuwa upande mmoja unategemea uzembe au kutojua kwa upande wa pili ili uweze kusonga mbele, sasa taifa gani liko tayari kuendelea kufanywa ngazi ya kupandia mwingine!
  8. Y

    Tanzania-Kenya Relations will remain uneasy forever

    Mkuu ujui kuwa jimbo la Alaska ilikuwa ni sehemu ya Rusia na USA ililinunua kwa Dola 50,000 kutoka Rusia!
  9. Y

    Tanzania-Kenya Relations will remain uneasy forever

    Tanzania -Kenya relations will remains uneasy forever, please markmy words, na ndiyo hali halisi ilivyo na historia duniani ilivyo kwa dunia nzima kwa mataifa yanayshindana. Nenda America ya Kusini ni ushindani na uhasama kati ya Brazil na Argentina, nenda Asia ni ushindani na uhasama kati ya...
  10. Y

    Askofu Bagonza: Tuliyajua, Hatukuyajua lakini hilo zaidi ya tatizo

    Siasa za TZ ni raha sana yaani mtu yeye mwenyewe hajawahi kutubu au kuwaomba radhi wale aliowaumiza lakina yuko mstari wa mbele kuwataka wengine wafanye hivyo, loo hiyo ndiyo imani!
  11. Y

    Bunge lajadili malori kukwama bandarini

    Waziri Mkuu anatakiwa asaidiwe maana kila mara anatembelea bandari lakini hakuna mabadiliko ya utendaji yanayoonekana
  12. Y

    Ukizielewa Siasa za Tanzania huwezi kupata tabu. Hongera Rais Samia kwa kuzielewa vyema Siasa za Tanzania, nasema kazi iendelee

    Tanzania tunatakiwa kujifunza kutenda sio maneno matupu, yaliyofanyika jana sio mapya aliyafanya yote hayo JK nini kilitekezwa au kubadilika🎈
  13. Y

    Kenya yapata upenyo: Tanzania yajisalimisha tena mikononi mwa Kenya

    Watunga sera za uwekezaji wa Tanzania ni lazima wajue na kuelewa strategic long-term investment plan ya nchi za magharibi kwa bara la Afrika, ili kujiweka katika nafasi nzuri ya kukabiliana na nchi ya Kenya. Tayari mkakati umebainisha nchi katika bara la Afrika zitakazo kuwa kitovu cha makampuni...
  14. Y

    Wakenya wametupiga bao sana kwenye uwekezaji nchini

    KENYA YUKO TU MBELE YA PAZIA UJUE KUWA NYUMA YA PAZIA HIZO ZOTE NI KAMPUNI ZA U.S.A NA U.K ZILIWEKEZA MITAJI KENYA WAKATI ZIKISUBILIA UJAMAA UANGUKE TANZANIA ULIPOANGUKA NDIO ZIKAVUKA MPAKA. FAIDA KWA WAKENYA NI KUWA ZILIWAPATIA UJUZI WA KUSIMAMIA MAKAMPUNI SASA BAADA YA KUJA TANZANIA HAZIONI...
Back
Top Bottom