Recent content by YURAHA BOY

  1. YURAHA BOY

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Natumia voda tangu nianze kutumia cm na kila nikijaribu mtandao mwingine nashindwa naona bora voda yangu.
  2. YURAHA BOY

    Ulianzaje kuvuta bangi?

    nime2lizana hapa nawahesabu tu nyie wavuta bangi
  3. YURAHA BOY

    Wanaume tuliooa, nini tufanye maana hii kasi ya usaliti inatia shaka?

    Unavumilia na kusamehe kadri ya upendo wako kwake ulivyo ila uvumilivu unapokushinda tambua huo ndo mwisho wa upendo, piga chini jipange upya upate mwingine
  4. YURAHA BOY

    Mjue uliyesoma naye Shule ya Msingi au Sekondari

    Ighombwe pr&sec school 2008&2011
  5. YURAHA BOY

    Nitamtambuaje mwanamke aliyetoka kutoa mimba?

    Anzia pale ulikoishia kwenye ongezeko au pungufu potezea utakuja kufa boy
Back
Top Bottom