Recent content by Yupo

  1. Y

    Dumuzi aendelea kukitafuna Chama cha Walimu Tanzania

    Kuandika Kwa code si vizuri weka wazi watu wajadili, kutaja dumuzi dumuzi ni sawa na lamuli chonganishi kiongozi
  2. Y

    Historia: Tukio lilipelekea vifo vya watoto watano - Vituka Folkland mwaka 1997

    Dah !!very sad [emoji24][emoji24], umenikumbusha vifo vya watoto kumi na tisa mwaka 2009 kwenye ukumbi wa mziki (disco toto) ukumbi ulikuwa maarufu wakati huu ukitwa babozi mjini Tabora siku ya Iddi, msiba ule uligusa viunga vyote vya mji wa Tabora. Takribani Kila mtaa kulikuwa msiba. Mungu...
  3. Y

    Waziri Mchengerwa aagiza Wakuu wa Mikoa kusimamia usambazaji wa sukari

    Dah!!! Inafikirisha hivi demand and supply si ndio inatumika kwenye soko? MaRC na ma DC watufanyaje sasa, naamini TZ Bado tunasafari
  4. Y

    Ufaulu Darasa la Saba

    Malengo ya Mwl. Nyerere kutumia kiswahili kuwa lugha ya kufundishia ilikuwa kuwesha watanzania (Elimu msingi) kuwa mahili kuongea kiswahili, umoja na kuondoa ukabila, Sasa hili nadhani limeshafanikiwa Kwa asilimia miamoja, Sasa nawashagaa watunga sera, mitaaala kuendelea kushikilia kutumia lugha...
  5. Y

    Haya ndio maboresho ya Mtaala wa Elimu yanayoenda kufanyika Tanzania katika jitihada za kuboresha Elimu

    Katika vitu ambavyo watunga sera Bado hajatupeleka mbele ni kubaki kutumia lugha ya kufundishia kuwa ni kiswahili, badala ya English
  6. Y

    Wanasimba SC njooni hapa tufanye maamuzi sahihi tumfukuze kocha au tuwafukuze wachezaji?

    Kwenye kipingo kama hiki busara ni kurudi nyuma na kufanya tathimini ya makosa ya kiufundi yalikuwa wapi, halafu kama shida ni mfumo hapo tunamgeukia kocha SI kufukuzana bila tathimini tutaharibu zaidi na kuelekea kuwa vibonde, dah!!! lakni inauma[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Back
Top Bottom