Kiukweli umeongea point ex ni yuleyule watu watambue hilo. Ex habadiliki zaidi ukimludia ndo anakuumiza na kitu kingine ambacho nikikubwa kuliko kile cha mwanzo. Na anaweza kufanyia kitu kibaya hadi ukajiuliza huyu ni binadamu au nimnyama mana hatokua ata na cbembe ya huruma.
Ndugu usiseme hivyo kwamba ninaakili za kijinga ivi unajuaje kama huyu mtu hakupendi kama bado hajakuonyesha viashiria? Na alionyesha kunipenda na tulipendana kwel Ila akaja badilika so usiseme mtu anaakili za kijinga
Nipo ala nadhani nilikosea kumpenda naamnin ningempata wa kuthamin upendo wangu angeenjoy Sana ,,bhc tu nimeishia kua single[emoji24][emoji24][emoji24]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.