NASHANGAA SANA MNAMGUNDUA LEO HUYU KIMEO MWAFRIKA WA KIKE.MUULIZE ATA MTOT WA MKULIMA ALISEMA HUYU NI BONGE LA KILAZA.KWANZA ANA IMANI ZA KISHIRIKINA,PILI ANA JAZBA,TATU ANA MAJUNGU,NNE KAIGEUZA JF UKUMBI WA UMBEYA,TANO ANA USHABIKI BILA DATA.IN SHORT NI MAMA UMBEYA
kaka hizo picha weka hapa tuzione email yangu haina umuhimu kwako,ata hivyo hizo picha hazitoi maneno yaliokuwa yakiongelewa.naweza kuwa sina point nawe unazo lakini point zako wewe kibaraka wa malecela unaleta point za uwongo hapa ,ndoto zako unataka tuziamini
MAMA unatumia vibaya uhuru wa kuandika,wakati wa uchaguzi RA hakuwa mmiliki wa magazeti ya Rai wala mtanzania bali alikuwa ni Jenerali Ulimwengu ambae ni rafiki wa karibu wa Salim.acha kuongea husiyoyajua.
Kaka wewe ni darasa la ngapi ambae unatupa data bila utafiti?asilimia 98 umeipata wapi? alafu uwezo wako wa kufikiri ni avarge sana ndio maana unawaza uchawi ata wa kuloga kura?????????hii kali
KESI IMEKWISHA FUNGULIWA....NANUKUU :IMEFUNGULIWA KESI LEO .CIVIL CASE NO 42 OF 2008 MAKAMA KUU YA TANZANIA KANDAS YA DAR ES SALAAM.PAMBANO LITAKUWA KALI,UCHAFUZI UTAKUWA MKALI ZAIDI HATIMAE KWA NIABA YA WANAOONEWA NA KUSINGIZIWA KILA KUKICHA TUTASHINDA.
HAYO NI TATIZO HUKO CHADUMA,CCM NI MAMBO YA KAWAIDA TOKA ENZI NA ENNI.UNAKUMBUKA WAKATI MZEE KAWAW ANAGOMBANA NA MSEKWA KWA AJILI YA ANNA ABDALA NA WOTE WAWILI WALIKUWA WAMEOA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.