Sio wapinzani tu,,,siasa ya Tanzania kwa ujumla ni tofauti sana. Wanasiasa Wetu wengi wanajali matumbo yao tu ni wachache sana wenye uchungu Wa kweli kwa wananchi wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watanzania Wa ajabu sana,sikutegemea mtu kama lisu anaweza kusaliti watanzania kwa kiasi hiki. Hivi anaweza kusimama hadharani na kujinadi kuwa anawatetea watanzania?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.