Recent content by YUAJA.

  1. Y

    Wafuasi wa CCM wang'oa bango la UKAWA lililofungwa jioni hii Kariakoo

    Huwezi zuia mvua kunyesha. Mwendo mdundo, mabadiliko mbele kwa mbele.
  2. Y

    Prof. Mbele: Slaa alisema CCM ni choo kichafu

    Falsafa ni tamu kama unaielewa na una akili iliyo shiba. Asante Prof.
  3. Y

    Tundu Lissu: Dr. Slaa ni muongo, watanzania mpuuzeni. Maneno yote tatizo ni Urais

    Ndege ya mabadiliko iko futi 38000 kutoka ardhini! Dr. Slaa anataka itue!?
  4. Y

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Ngoja mzee apumzike. Tuendelee na ukombozi hadi kieleweke.
  5. Y

    UKAWA waamua kumsimamisha Julius Mtatiro kugombea Ubunge wa Jimbo la Segerea

    Namkubali sana Julius Mtatiro. Ni kichwa.
  6. Y

    CHADEMA/UKAWA kuzindua kampeni tarehe 29 Agosti, 2015 Jangwani

    Mimi pia nitakuwepo viwanjani majaliwa.
  7. Y

    Mke wa Sumaye kunyang'anywa ekari kubwa za mashamba Kibaha

    Msafi ni nani? Ili awe wa kwanza kuwarushia mawe wanao itwa mafisadi!!!!!
Back
Top Bottom