Alipo Urusi hakuna wa kuingia, kuna watu hawapigwi mikwara ya njaa. Hakuna kurudi nyuma jinsi wanavyo mtafuta aingie kumi na nane zao na yeye ndo anawasubiri waingie kumi na nane zake ndo maana alianzisha yeye msako.
Watu wanapenda kutumia msemo wa "kuona mbali" kama kigezo cha kutetea kile wanacho kiamini au kuona ni sahihi kwa mtazamo wao.
(Huko mbali hivi huwa ni wapi?)
Aliwazalo mjinga ndilo humtokea.. Wahenga walisema...usishindane na wajumbe... na...Mjumbe hauwawi...sikio la kufa halisikii dawa...bora kuanza vibaya na kumaliza vizuri na si kinyume chake.
Ili mtu atambulike kachimba kweli kweli basi ni lazima atakuwa kasoma Vyuo ambavyo ni bora sana Duniani.
So kwa upande wa sheria wenye kuzijua vizuri undani wake ndo hao hao wanaofanya hii picha ionekane ni ndogo sana.
Bado tumezidi kutapeliwa mchana kweupe hivihivi.
Hili ni suala la mitindo tu unaweza kuwa Mvulana ukaniga tai mwanzo mwisho na Ukawa Mwanaume bado ukalipuka T shirt na Jeans mwanzo mwenga. Utu sio mavazi vaa vile uwezavyo ilimradi uvae kiheshima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.