Ndio, but inahifadhi na rekodi pia, ukifungua jalada mpya la kurekodi unaweza check jalada za rekodi za tarehe zilizopita pia for reference. Data huhifadhiwa offline mpaka utakapo uninstall app.
Unaweza kuedit kama ulishajaza halafua ukabadili bei. Bonyeza [1] iwe [2] mode katika app kwa juu kwenye button yenye namba, kisha touch neno lolote au namba ili kuedit then change back to [1] to leave edit mode.
Nami napenda mtu muwazi so usiwe na wasiwasi. Kuhusu time consumption ni kweli na ukizingatia watu wengi hawako faster kwenye kutumia mobile soft keyboard ila kero au shida ya kwenye daftari inakuja pale kwenye kujumlisha mlolongo mrefu wa namba. Mimi binafsi nilikuwa natumia daftri ila hicho tu...
No, hii ni kwa ajili ya kurekodi kitu ambacho kimeuzwa tayari kwahiyo unarekodi kulingana na ulivyouza na sio kurekodi ambavyo viko store japo unaweza kuforce kutumia hivyo lakini sio lengo kuu. Kuna wale ambao wanakawaida ya kuandika kwenye daftari kila kinachonunuliwa kisha mwisho wa mauzo...
Hii ni offline app niliyoitengeneza kwa ajili ya matumizi binafsi kwa lengo la kukokotoa jumla ya mauzo ya siku katika fremu yetu ndogo. Nimeiweka Playstore ili kushare na wengine wanaohitaji. Kwa kifupi unavyoanza siku mpya ya biashara unagusa button [J] ili kufungua jalada mpya na utaona...
Movies tofauti na program bro.
Movie ni series of scene amabayo matumizi yake yanaendana na muda unaotumia (constant time), once ikitengenezwa then inabaki vile vile kwahiyo sio issue kwa AI.
Program ni kitu ambacho kinabadilika kimatumizi so kinaweza kuwa affected kutokana na input kulingana na...
Hizo framework zenyewe zinazotumika kurahisisha kazi kusanidiwa na watu wenye uelewa wa programming in deep. Kwanza mpaka sasa bongo wengi wanaotengeneza hizo webs wala hazina ufanisi mzuri kutokana na tabia ya kutumia templates bila kuelewa coding. Unakuta zinamwonekano nzuri lakini katika...
Sawa, AI tayari zinaweza andika piece of codes kumsaidia binadamu kukamilisha project lakini AI kama AI haiwezi chukua nafasi ya binadamu fully katika programming.
Hata hizo codes sometimes inatakiwa uzikague kwa sababu AI haiwezi jua mawazo yako yote katika project.
Usitake kuniambia kwamba AI...
Programming ni lazima kama unataka kuunda AI yako au kuiboresha. Ila kama unataka kutest data / inputs kupitia AI libraries walizotengeneza wengine hapo maana yake wewe ni end-user wa AI so programming hata basic kwako inatosha.
Tena naweza kusema kwenye kutengeneza AI ndiko ambako programming...
Instagram yale sio majina bali ni profile reference ili kurahisisha namna ya kushare page au profile lako kama unavyoona katika Twitter. Zaidi ya hapo jifunze kuhusu common noun na proper noun.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.