Dr. Slaa kakosa mwana na maji ya moto. anacho takiwa kufanya kwa sasa arudi nyumbani akaimarishe familia yake. Mungu kasababisha hayo kwake kwa malengo maalum kwani tangu aache ukasisi wa kanisa katoliki hajapata muda wa kutulia na kujenga ndoa yake. alipokee hilo kwa mtazamo chanya na aendelee...
Kiukweli mtu anakua akilini, kama ana miaka zaidi ya 40 anaendelea na mambo hayo basi huyo bado ni mtoto (kiakili). Jambo la msingi hata sisi vujana tujilee ktk maadili bila kusiingizia kwenda na wakati. wakati hautulazimishi tujidhalilishe kiasi hicho.
Jamani, hivi mtu akikukopesha amekuhonga? tujitahidi kuelewa vizuri lugha. kama wamekopeshwa wanapaswa kulipa swala la kuhongwa linatoka wapi? ikiwa hao vijana wanashindwa kutofautisha kati ya kupewa na kukopeshwa, basi waelimisheni. Au ndo wameambiwa walipe kura badala ya fedha.
Ndugu yangu huenda wewe si Mtanzania, manake kwa dharau hizo hata wazazi wako utakuja kuwaita watu wa ajabu ajabu kisa wewe umeendelea japo kidogo kuliko wao. Haifai hivo bwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.