Arusha exp Ilikuwa zaman Co sasa Yaan apo atatangulia lkn arusha hafiki wa kwanza kam zaman kila cku huwa n mateka wa Machame na Shabiby Cjui n kuzembea Au nn! Nasema ivyo Kwan kila cku stend anafikaga WA mwisho Kat ya gar zote za kutoka 12
Mwambie Uyo!Watu wa kaskazin kuwa wasindikizaj iyo n zilipendwa, Kwa taarifa yake watu hao walishaendelea cku nyingi kimtazamo tofaut na pahala pengine
Yaan kiukwel m mwenyewe nmeshindwa kuelewa kwamba kibaha mjini Ndio wapi kila nkipitaga coz panaonekana Kam wilayani ilihali ndiyo makao makuu ya mkoa wa pwani wakat mwingne nlijisemelea si Bora ata Bagamoyo pangekuwa makao makuu coz binafsi cjapaelewa kibaha mji ulio karibu na dar(umbali wa km...
Kaka n cfa gani kuu hizo? Kwa order nayoifahamu mm n Dar,Mwanza then Arusha! Cjui Kwa hao wanaoioverrate n Kwa kipi haswa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una matatizo inawezekana ulikuja arusha kumtembelea ndugu yako cku mbili tatu ukasepa. Morogoro napajua vizur kamwe huwez ilinganisha iyo manispaa na arusha Kwa chochote.Eti uoni tofaut? Njoo na hoja nyingine umebugi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan ktk miji kam dar izo hotel kubwa wanaozifaid n akina nani? Na unataka kusema Hakuna maeneo ya kiswaz uko pia? Huko watu Wangapi hawaishi Kam mbuz? Msiforce kufananisha miji Kwa kutumia vigezo dhaifu na kila mji una mapungufu yake ikumbukwe! Pia Mbuyu ulianza kam mchicha sasa huwez lazimisha...
Yaan tena mtu katoka arusha anathubutu kupanda hood huo n uwendawazim wa kiwango cha lami wakat kuna gar za kupita dom zinaitafuta mbeya saa nne Au tano tena pamoja na vts hii ya sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.