Hivi hili basi la Arusha Express halina kidhibiti mwendo au ndo uwezo wa Scania.

Hiyo Hajis ya Mbeya-Arusha ni noumaa kwanza nilikata tiketi asubuhi nikakosa nafasi Arusha Express nikapanda kishingo upande Hajis Scania moja ina sura mbaya hatari lakini huo mwendo wake saa 2:30 tushafika Chuga. Scania usiangalie sura ya basi kuna zile scania zinaenda Harare zina sura mbaya kama gari za movie MadMax in ni noumaa nasikia
 
Arusha exp Ilikuwa zaman Co sasa Yaan apo atatangulia lkn arusha hafiki wa kwanza kam zaman kila cku huwa n mateka wa Machame na Shabiby Cjui n kuzembea Au nn! Nasema ivyo Kwan kila cku stend anafikaga WA mwisho Kat ya gar zote za kutoka 12
 
Arusha exp Ilikuwa zaman Co sasa Yaan apo atatangulia lkn arusha hafiki wa kwanza kam zaman kila cku huwa n mateka wa Machame na Shabiby Cjui n kuzembea Au nn! Nasema ivyo Kwan kila cku stend anafikaga WA mwisho Kat ya gar zote za kutoka 12
Hivi Mkuu kuna shabiby na Machame zinatoka Mbeya moja kwa moja kwenda Arusha?? ,sijazionaga mimi naonaga Arusha express, Hajis ,Majinja na respect kipind fulan.
 
Hivi Mkuu kuna shabiby na Machame zinatoka Mbeya moja kwa moja kwenda Arusha?? ,sijazionaga mimi naonaga Arusha express, Hajis ,Majinja na respect kipind fulan.
Magari ya Mbeya Arusha mabaya mno yaani ukiona ilivyo mbaya unahisi wote kajamba nani na unakuwa na mashaka kama mtafika,sijui coz ni route ndefu au vipi
 
Hiyo Hajis ya Mbeya-Arusha ni noumaa kwanza nilikata tiketi asubuhi nikakosa nafasi Arusha Express nikapanda kishingo upande Hajis Scania moja ina sura mbaya hatari lakini huo mwendo wake saa 2:30 tushafika Chuga. Scania usiangalie sura ya basi kuna zile scania zinaenda Harare zina sura mbaya kama gari za movie MadMax in ni noumaa nasikia
Haji's halina vts,basi nyingi zenye scania 95 hazina vts sababu ukiweka hazikubali either gari inapiga shoti au haliwaki kabisa
 
haya mabasi inategemea king'amuzi ilichofungwa, kuna kingine kinaanza kupiga kelele gari ikiwa 78kph na kingine kina sense gari ikiwa hadi 88. kwa hiyo ukibaatika kupata chenyewe kina error range kubwa ndio bahati yako. pia hizo gari yutong zinafunguka sana acheni utan labda hamzijui na uzur wake ni gia sita tu, scania gia nane inachelewa kuchanganya
 
haya mabasi inategemea king'amuzi ilichofungwa, kuna kingine kinaanza kupiga kelele gari ikiwa 78kph na kingine kina sense gari ikiwa hadi 88. kwa hiyo ukibaatika kupata chenyewe kina error range kubwa ndio bahati yako. pia hizo gari yutong zinafunguka sana acheni utan labda hamzijui na uzur wake ni gia sita tu, scania gia nane inachelewa kuchanganya
Mkuu haya madubashwa ni ma scunia marcopollo
 
Mimi ni Dereva wa lori, Kinachofanyika Kwa Baadhi ya Makampuni ya Mabasi ni hivi wakati wa kufunga kile King'amzi Huwa Yule mfungaji (Hushikwa mkono) Anakifunga kianze kupiga Alarm kuanzia Speed 95 Hadi 100 Wakati Mabasi ya mengine kinaanza kulia Speed 80 yeye ndiyo kwanza Anakanyaga kuitafuta 95 Hadi 100 Ndiyo king,amzi kisome, Kingine kama Sijakosea Engine na Gear Box ya Scania ni kubwa kuliko Wa Yu-Tong Kwa mzunguko wa Scania ni Mkubwa kuliko Yu-Tong Unakuta wakati Yu- Tong unasoma 80 ndiyo Kwanza Scania yupo 60.
 
hizo marcopolo ni old buses sana, uzuri scania ni heavy duty sana yaani inadumu si kidogo lkn yutong ni modern bus zinaamsha si kidogo nadhan hamzijui vzr aisee
Ni kweli Yutong Zina aamsha lakini kuamka kwa Yutong na kwascunia Ni tofauti YUTONG NYEPESI NA INAYUMBA IKIWA KWENYE MWENDO MKALI SANA NA RAHISI KUMWAGIKA SCUNIA IMETULIA HAIYUMBI IKIWA KWENYE MWENDO MKALI SANA
 
Habari wakuu, mida ya saa12 asbh nipo zangu Kituoni pale Miyuji nasubiri basi la Machame niende zangu 'R Chuga' saa12 kama na dakika 20 hv Shabiby likapita, dakika km ishirini bdae Machame likapita nikapanda nikaanza safari! Tumekwenda huko katikati ya safari kabla ya kufika wilaya ya chemba naona mshine(arusha express ) inatuovateki, wkt huo Machame limeshafikia spidi ya mwisho mpk kale ka mlio ka wiu wiu wiu wiu wiu!! ka kidhibiti mwendo kakawa kanalia wkt huo arusha express Scania Marcopolo la enzi hizo namba A linaovateki Yutong namba D, nikasema poa!! Tukatembea kufika mbele tukakuta limemishwa check point ya trafiki na sisi pia tukasimamishwa, baadae sisi tukawa wakwanza kuondoka pale, dereva wetu kapiga kiatu wee mpk kale ka alarm kakawa kanalia tena mara paaap! Arusha express hili hapa tena ubavuni likatuovateki tena!! Sasa hapa ndo najiuliza hizi ovateki za scania(ars xpress) ni uwezo wa gari au kuna kitu nyuma ya pazia?! Mimi ninachojua mabasi yote ya safari ndefu yamedhibitiwa yatembee max 80km/hr kwa hyo mwenzako akikutangulia akiwa ktk hyo max spidi huwezi kumuovateki, hii imekaaje wadau km kuna mwenye wazo la tofauti!!
Uzi wako ni kichocheo cha ajali za mabasi
 
hizo marcopolo ni old buses sana, uzuri scania ni heavy duty sana yaani inadumu si kidogo lkn yutong ni modern bus zinaamsha si kidogo nadhan hamzijui vzr aisee
Marcopolo za zamani ni zile andare ila kwa sasa zipo mpya kama zile G7 za dar express au Paradiso japo hii sina uhakika kama kuna kampuni yenye haya mabasi kwa hapa bongo...
 
Marcopolo ni watengenezaji wa body tu, ndo mana darluxy marcopolo zake mpya hazijatengenezwa na scania, zile ni weinchai engine. Back to the topic root ya arusha kuja mikoa ya kusini mbabe wao ni sharon yutong ya arusha-njombe
 
Back
Top Bottom