Uwezo wako wa kufikiria mdogo sana
Embu toa hoja za msingi za kumfananisha madiwani walio nunuliwa na mh..nyalandu una ecidence au unaongea arm chair thinking...boss[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji4]
Si kweli huyo kaamka na ndoto zake ndo kajakuandika huku na sikuzote ukiota kuwa unakitufulani kinyume chake huna kwa mfano unaota unahela ukiamka hamna kitu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji4]
Mtu mmoja huwezi kujaji chuo kizima fanya research kwanza watu wana tofautiana uelewa ww mwenyewe uwezo wako mdogo ndomana uDSM unaionavkwenye picha ..........usitake nikuite kilaza buree fanya utafiti wakina .....hata research hujui unakuja kuongea pumba hapa daah ....kweli mukiitwa vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.