Recent content by Young Gwahe

  1. Y

    Hivi ni nani aliwadanganya wakenya kwamba buses zetu za BRT walizitengeneza wao?

    Hao si walikuja mwaka Jana kujifunza kwetu au? Leo wao ndo wanatengeneza aisee Uhuru, njoo uchukue RAIA wako kabla watoto wa baba Jesika hatujawasha moto Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Y

    Harmonize azomewa baada ya kuwaita Wakenya maskini kwenye Wasafi Festival Nairobi

    Wakenya hebu punguzeni mbwembwe basis tufanye nyinyi ni matajiri lakini mnashindwa kulipa hela za China na SGR yenu inabebwa 2023 Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Y

    Top 100 best Hospitals in Africa: Kenya and Uganda dominate East Africa.

    Hivi kwanini wakenya mnapenda kujifananisha na TZ? Kwa kipi haswa? Na kuna bwege katengeneza uzi akisifia Jeshi la Kenya dhidi ya TZ nyie vipi? Viongozi wenu wanatibiwa hospitali hizo? Mnaacha kujadili maendeleo mnajifananisha na sisi kama Al-shabab wamewashinda kakojoeni mkalale msiifananishe...
  4. Y

    Wakati majirani wanasheherekea ndege yao ya kwanza, huku raisi atakua abiria wa kwanza kwenye ndege yetu ya kwenda US

    Mngekuwa mpo bize kufatilia na mambo ya Kenya ili kuondoa ukabila mngefanikiwa sana, kama mngekuwa mnajadili japo pale Nairobi pawe pasafi hakuna nyumba za udongo kama posta dar mngefika mbali, tunasistiza kama mngeacha kujipendekeza kwa Trump wakati alitutukana naona mngefika mbali, KUMBUKA...
  5. Y

    Msaada wa hostel kurasini (t.i.a)

    Habari wana JF, nilikuwa naomba msaada wa hostel karibu na chuo cha uhasibu kama mkinisaidia hostel zenye chumba self contained na ni cha m2 mmoja, basi mtakuwa mmenisaidia zaidi, NAWASILISHA.
  6. Y

    Msaada wa hostel kurasini (t.i.a)

    Nilikuwa naomba msaada wa vyumba vya hostel karibu na chuo cha Uhasibu kurasini, kikiwa self contained na kuna kitanda kabisa itafaa zaidi naomba msaada wenu. Kama bei inafahamika pia naomba mnisaidie
  7. Y

    Utitiri wa sherehe za kitaifa ni hasara mno

    HIVI NA UMASKINI HUU TULIO NAO SHEREHE ZA NINI? TUNASHEREHEKEA NINI HASA?? NONSENSE!!!!!!
  8. Y

    Nasumbuliwa na mgongo

    Ni nasumbuliwa na mgongo, ni mda sasa naomba msaada wa dawa au hospital gani nzuri kwa matatizo haya, cwez kulala bila kukanyagwa mgongo nikichua inapunguza maumivu kwa mda tu. NAWASILISHA
  9. Y

    Tatizo la kutokwa damu nyeusi na miguu kufa ganzi

    Nimetokwa na damu yenye rangi nyeusi mguuni, na mguu unakufa ganzi tatizo ni nini??
  10. Y

    Harufu ya mchezo mchafu kwenye zoezi lililoanzishwa na RC Makonda

    Unajua Bashite anataka atuzubaishe na huu upuuzi ili watupitishie bajeti mbovu kule bungeni, nyie mna focus na huu upuuzi wao kule wanapitisha bajeti za kipuuzi bila sisi kujua, dawa Yake kumpuuza
  11. Y

    MSAADA WA DAWA YA KUCHUA

    Habari wana JF Nilikuwa naomba msaada wa dawa gani ni nzuri kwa kuchua mgongo na misuli maana nasumbuliwa na mgongo na miguu. Nawasilisha
  12. Y

    Msaada wa huu ugonjwa

    Mikononi na mgongoni sehemu ya mabegani, pia kifuani
  13. Y

    Msaada wa huu ugonjwa

    Nina vipele vidogo vidogo kama vya joto, haviwashi, pia vina weupe kwa mbali huu ni ugonjwa gani na tiba Yake ni nn?? Naomba msaada
  14. Y

    'You're playing with fire,' Russia warns Britain at U.N. Security Council meeting

    Wanafahamu RUSSIA alichowafanya vita ya COSSOVO
Back
Top Bottom