Young Gwahe
Member
- Sep 3, 2017
- 53
- 164
Ni nasumbuliwa na mgongo, ni mda sasa naomba msaada wa dawa au hospital gani nzuri kwa matatizo haya, cwez kulala bila kukanyagwa mgongo nikichua inapunguza maumivu kwa mda tu.
NAWASILISHA
NAWASILISHA