Recent content by Young fadson

  1. Y

    Wito kwa Serikali yetu, Huu ni Udhalilishaji wa Bullying & Intimidation. Mbona Rais Samia Hadhalilishi? Tusiruhusu Udhalilishaji Huu Uendelee!

    Lakin pia ndio icon wa karne hii Biden pia anaua sana wapalestina kwa interest ya marekani sijui naeleweka?
  2. Y

    Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

    Wanawake siku zote ni watu wa kukurupuka, baadae litajifanya limepitiwa mazafanta...
  3. Y

    Wito kwa Serikali yetu, Huu ni Udhalilishaji wa Bullying & Intimidation. Mbona Rais Samia Hadhalilishi? Tusiruhusu Udhalilishaji Huu Uendelee!

    Yule jamaa ni kama maji, usipo mtia kinywani kukuondolea kiu, alakusafisa mwili
  4. Y

    Mkuu wa Mkoa Arusha Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi TARURA?

    Mbona we mtu mzima lakin hujui hitaji lako hasa ktoka kwa kiongozi ?
  5. Y

    Vijana si sawa kupinga kila kitu, Somo la Maadili lifundishwe toka darasa la kwanza mpaka Chuo

    Unadhani hitaji kubwa kwa kijana wa kitanzania wa leo ni maadili? Kama ndivo basi elimu ya kujielewa ianze theni zifate elimu zingine na mwisho kabisa tupate hiyo elim ya maadili
  6. Y

    Luhaga Mpina katumwa na nani?

    Jamaa upo timamu kweli? kitu gani akili yako inakiita matapishi? Hakika ngozi hii ina laana , kama mtu anaweza waza ujinga , haitoshi ujinga wake akaona hapaswi kuufanya kua siri.
  7. Y

    Luhaga Mpina akamatwe ahojiwe analeta chokochoko, kifo cha Hayati Magufuli hakina utata wowote

    Kuna jamaa alisema bahari imetulia, mwingine akasema wazuri hawafi, Mpina kaja na facts , badala ya kufikiri kumkamata , kamati huru iandaliwe pia,
  8. Y

    Nchi hatari zaid kwa binadamu kuishi duniani! China, Iran & Saudi arabia

    Ndo maana zinaendelea kwa kasi, Ili maendeleo yapatkane lazima kusafisha takataka zote ...nawasilisha
  9. Y

    Rasmi sasa Yanga waianza safari ya Mwakarobo waliyokuwa wanaibeza

    Sawa tu , lakin ndo ivo mmekufa kiume
  10. Y

    Car4Sale Basi linauzwa bei nafuu sana

    S Safari za misiba
Back
Top Bottom