Unadhani hitaji kubwa kwa kijana wa kitanzania wa leo ni maadili? Kama ndivo basi elimu ya kujielewa ianze theni zifate elimu zingine na mwisho kabisa tupate hiyo elim ya maadili
Jamaa upo timamu kweli? kitu gani akili yako inakiita matapishi?
Hakika ngozi hii ina laana , kama mtu anaweza waza ujinga , haitoshi ujinga wake akaona hapaswi kuufanya kua siri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.