Nyumba ipo maeneo ya sinza darajani kwa mwaibula,ina vyumba viwili,sitting room,jiko na choo ndani na stoo.
Bei ni maelewano.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu ya mwenyewe ama mmiliki 0758126342
huu ni upuuzi,waafrika tunahitaji kuwa na media yetu sio BBC ama CNN ambao wanaongea in favour of mabwana zao wazungu.Taifa lolote likienda kinyume na matakwa ya wazungu basi vyombo vyao vya habari ndio vinamchafua.angalia libya ,gadafi,sadam hussein.angalia Mugabe,angalia Kagame na sasa angalia...
habari wana jamvi,mke wangu amekutwa na tatizo la kuwashwa mara kwa mara kwa takribani miezi kadhaa sasa.na kila akijikuna anakuwa anavimba
nimempeleka hospitali tofauti tofauti alikuwa akitibiwa kwa kuchomwa sindano ama vidonge lakini hali bado inaendelea.tumepima vipimo vya ngozi,alej,vvu...
Peleka kwa wachina ama garage za quality,ambapo kucheki tatizo ni ef 70,baada ya hapo watakusaidia ila ukienda kwa mafundi wa mtaani utalia ukikuta ni wa kubabaisha atakuambia ununue,leo hichi kesho kile lakini wapi
Habari wakuu, kama kuna mwenye eneo lenye ukubwa huo ama taarifa yeyote,liwe na hatimiliki,na liwe linafikika kwa usafiri wa gari.linatakiwa kununuliwa ama kukodishwa.
PM kwa maelezo zaidi
Ni suala dogo lako ukicompare kama mwanamke angekuwa malaya,anatembea nje ya ndoa.muweke awe manager katika biashara zako huku wewe ukiwa MD,asubuhi unaamka naye mnaondoka pamoja,ukifika ktk ofisi yako aone kukuru kakara za kugombana na madereva,kuibiwa mafuta,kupata ajali gari etc,
kama na...
Kiwanja kipo eneo la bugogwa,jirani na barabara ya wilaya ya ilemela inayowekwa lami kutoka makao makuu ya wilaya kuelekea igombe inayotengenezwa.
Hakijapimwa bado,
Lina ukubwa wa 70 kwa 50
bei millioni 5.PM kwa mawasiliano zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.