Recent content by young arrogant

  1. Y

    Taa za barabarani Sinza ni kero

    Habari wanabodi Tunashukuru sana kwa matengenezo makubwa ya Barabara ya Bamaga to Shekilango... Hakika imekuwa ya kuvutia sana sana Lakini kosa la kiufundi ni kuamua kufunga taa za kuongozea magari...! Kwa siku mbili hizi tu, nimeona hizi taa zimekuwa zikiongeza foleni badala ya kupunguza...
  2. Y

    Wafanyabiashara weusi Tanzania, pelekeni watoto India wasome shahada za family business ili mkifa biashara zisife

    Kwanini Family Business za Wahindi na waarabu zinafanikiwa..? Kubwa ni Kuwa Wenzetu wanajenga Biashara katika Misingi ya Ujuzi.... Hivyo mtoto naye Hurithi ujuzi wa wazazi katika mfumo rasmi au usio rasmi.. Pili katika vipindi vya likizo watoto hupata muda mwingi wa kukaa kwenye biashara za...
  3. Y

    Wafanyabiashara weusi Tanzania, pelekeni watoto India wasome shahada za family business ili mkifa biashara zisife

    Mzee Ekenywa.. Kutoka EKENYWA ENT CLINIC hadi EKENYWA SPECIALISED HOSPITAL.. Baba alikuwa Daktari bingwa kwa Kinywa na Meno na akafungua hospitali pale Magomeni Mwembechai na Mtoto Dr Emmanuel naye kabobea kwenye Fani ya baba yake hivyo anasimamia hospitali vizuri kabisa... Pili Kairuki Memorial...
  4. Y

    Sauli na Al Saedy vinara wa ligi ngumu ya Dar es Salaam - Mbeya

    All in all sikuhizi mabasi hayatembei kabisa Zamani Safari ya Dar mbeya saa 10 jioni upo Mbeya...! Km mtu anaenda Tukuyu na Kyela saa 11 yupo tukuyu saa 12 yupo Kyela.. Jua halijazamaa safari imekwisha.. Na magari ya zamani hayakuwa Mazuri kama haya Mashine ni Leyland Comet ,DAF , Scania 92 na...
  5. Y

    Naomba kujua bei ya Bajaji Tanzania

    Kama ataendesha yeye mwenyewe mnunulie , ila kama haendeshi yeye bora umfungulie duka la spare za bajaj na urembo wa pikpiki itamlipa zaidi. matokeotz, Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Y

    Biashara ya Usafirishaji wa Mizigo kwa Malori Makubwa: Jifunze Uzoefu, Miongozo, Faida na Changamoto Zake

    In short FUSO ni gari korofi. Rims ina pasua sana, Inaua Hub sana.. na takataka kibao. Brake Cylinder na Brake Line zinaisha mara kwa mara kwa sababu ya kuzidisha uzito. Yaani Better ukaachana na FUSO. Fikiria SCANIA zaidi maana itakulipa. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Y

    Biashara ya Usafirishaji wa Mizigo kwa Malori Makubwa: Jifunze Uzoefu, Miongozo, Faida na Changamoto Zake

    Zote zinalipa SCANIA kipisi au Semi zinadumu sana ila kibiashara inamzunguko mdogo lakini pia matengenezo yake ni madogo. FUSO inamzunguko mkubwa sana lakini ina gharama sana tena za hovyo na za kijinga sana Engine Overhauls kibao, Spring kuvunja kila uchao, Diff yake kila leo kuua msalaba...
  8. Y

    Matumizi mabaya ya ujenzi wa Flyover na Madaraja ambayo Malori hayaruhusiwi kupita. Why?

    Basi lina Axle 2 hadi 3 ila malori ya axle hadi 7 Hivyo basi huchukua muda mfupi kupima kuliko lorry Pia thamani na umuhimu watu ni mkubwa kuliko mizigo.. Thus mabasi yanapewa kipaumbele...
  9. Y

    Waziri Ndalichako, bado wanafunzi tunaibiwa Vyuoni, SUA na UDSM wamo

    Hata UDOM haka kamchezo kalikuwepo waliomaliza mwaka 2011 walikutana na huo mchezo na wengine walilazimika kulipa tena sijajua miaka ya mbele.... Dawa ni chuo kutoa receipts kwa kila mwanafunzi aliyelipiwa ADA na Bodi mara tu bodi wanapotuma pesa ya Ada chuoni badala ya kusign ile list ya...
  10. Y

    Morogoro: Basi la Kampuni ya Ilasi Express lapata ajali ya kugongana na Lori maeneo ya Kasanga

    Vyuma hivi.. Vinakula watu hatari.. Pole kwa wafiwa na majeruhi..
  11. Y

    Hongera Abood na Shabiby kwa usafi wa mabasi yenu

    Abood ya Mwanza ni Scania Marcopolo namba A chafu.. Hizo hazina vionjo , wao wanachoangalia ni uzima wa Jiko (Injini) na Transmission na Final Drive full stop.. Na zamani kipaumbele chao ni Kutoboa tu kwa maana ya kufika siku hiyohiyo... Vionjo vionjo mule hakuna na ukitaka vionjo kwa njia hiyo...
  12. Y

    Bilionea Rostam Aziz amemalizana na Vodacom Tanzania (Auza hisa zote kwa Vodacom SA)

    Huyo jamaa ni noma.. Kapiga bei fasta kabla kitumbua hakijaingia Mchanga.. Musiba aliwahi kusema Vodacom ni msaada wa Mandela kwa CCM , sasa sijui ni akina nani ndani ya CCM waliichomoa Vodacom ndani ya CCM kiaina.. Sasa hiyo ni Vodacom , vp kuhusu mali zingine za chama zilizokwapuliwa kiujanja...
  13. Y

    Kukaa hostel vs kukaa nje geto kwa UDSM na Ardhi kipi nafuu?

    Umekwenda chuo kusoma sio kupikapika.. Fuata kilichokupeleka shule Hivyo vitu vya geto ni petty asset ambazo havikusogezi popote.. Kama unataka kuloweka demu wako piga watu exile tu , wana watakuelewa.. Tatizo mnaendekeza ngono ndio maana mnakimbilia kupanga ghetto, ili mpate uhuru wa kufanya...
  14. Y

    Msaada wa mchanganuo wa bei na miundombinu kuanzisha kituo cha mafuta (petrol station)

    Tena na kampuni nyingine wanafanya Hedging ya bei ya mafuta ya miezi hata mitatu ili kukwepa changamoto ya mabadiliko ya bei..
Back
Top Bottom