Amemaanisha ulitakiwa uandike Mungu kwa kuanza na herufi kubwa ukiandika mungu hiyo ni miungu tu. Ila Mungu analiye hai unatakiwa kuanza na herufi kubwa yaani Mungu na siyo mungu.
Ndoto yako kiimani ina maana sana. Huenda kuna stage au jambo ulitakiwa kulifanya au uliruka huko nyuma na wakati wa kulifanya jambo hilo umefika na hujui cha kufanya. Ndio maana unaona ndoto yako unaota hujui cha kujibu au umechelewa. Na ndoto kujirudia zaidi ya mara 2 ina maana kubwa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.