Usiwabembeleze hao watu wa Mbeya...wajenge viwanda mzee atakwenda....Pwani anakwenda sana sababu wana viwanda...Mwanza kuna viwanda vinazidi kujengwa ila pia ni njia ya kwenda kwake Chato in case mmemchosha na kelele zenu anakwenda kupumzika...sasa akitaka kwenda Chato apitie Lindi? ...... Mbeya...
Ujinga wa hii nchi ni kwamba kila kitu kinahusishwa na siasa, CCM to be specific..watu kama wewe hawajielewi...maana kama mtoa uzi kazungumzia resources, wewe umeitoa CCM wapi? Wewe ni mfuasi wa siasa uchwara sasa unaharibu mada!
Mkuu uko sahihi...huyu mtoa uzi ametupa porojo tupu...kuanzia hiyo tafiti ya Waisraeli hadi kuja kwenye rasilimali eti kuwa ni mali ya ardhi, sisi hatujazitolea jasho....hivi hao anaosema wana IQ kubwa, hizo akili wamezitolea vipi jasho?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.