Kwanza pole sana kwa hii changamoto unayopitia,
Najua umeshapata ushauri wa kutosha sana kutoka kwa wadau namna gan ya kufanya ili mambo yakae vzr
Nataka kusisitiza tu kwenye swala la MIKOPO usije ukathubutu kujihusisha haraka haraka unaona unavyohangaika saiz itakuwa mara mbili yake...
Habari za mchana? Nilikuwa napenda kufahamu kwa ujumla mazingira ya wilaya ya butiama kwa mtu anayeenda kuanza kazi katika wilaya hiyo.
Kwenye upande wa mazingira na tamaduni za huko butiama ?
Gharama pia za maisha huko butiama zipoje ? Kama nyumba na vyakula.
Pia wanajidhughurisha na kilimo...
Kwanza nakupongeza sana kwa kuachanana na unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara,
Endelea kufanya mazoezi pia kama unavyofanya lakini pia kabla haujalala piga push up hata 50 kila siku usiku out of kucheza mpira tu
Lakini pia make sue unapata sex mara tatu kwa week ndugu yangu usingizi
Tabora nzega ni pazuri tu pia kwa kufanya maisha na swala la kuanza upya sio issue babe mizigo yako yote uje uendeleze ulipoishia
Labda kama una miladi huko dar ambayo unaona ikija nayo nzega itakufa bas bas huko huko ila kama unazungumzia vitu vya kawaida tu toka huko njoo tabira kwa speed ya...
Pol
Pole sana dada Lee tuwe makini sana na matapeli maana yanaumiza sana mambo kama haya nilishawahi kutapeliwa ada aisee siwez sahau hiki kipindi nilipata shida sana
Badirisha mfumo wako wa maisha unayoishi nae huyo mkeo saiz anaona unauhitaji mkubwa sana kwake sasa ondoa huo uhitaji wa sex kwake hudumia familia yako vzr piga nae story tu ukifika muda wa kulala ww nenda kalale kimya usiombe kitu
Ila unavyokuwa unaomba omba kila siku madhara yake ni makubwa...
Hizi ndo sababu zinazopelekea wanaume wengi kutokuwa na mahusiano serious na wadada angalia huu ujinga hapa
Ila elewa tu hata huyo unayemuona bira kwa sasa kuna muda na ww atakuona kama takataka tu
Mvumilie mdau mambo hubadirika tu tambua hilo na hawezi kuwa hivyo alivyo sasa siku zote
Mfumo wa interview ni mfumo ambao unatumika kwa nchi nyingi tu ili kupata mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi sema kwa kwetu hasa kwa waalimu ilizoeleka kubebwa tu na kupangiwa kituo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.