Recent content by yongpal

  1. yongpal

    Naomba ufafanuzi wa kozi ya Bachelor of science in Biology

    Habarini za mchana, Naomba msaada wa mawazo juu ya hii kozi hapo juu nimechaguliwa UDOM, nikisoma hii kozi kuna uwezekano wa kuwa mwalimu wa Biology au inahusika na nini hasa nje na ualimu.
  2. yongpal

    Rais Samia ndio kiboko ya Mbowe na CHADEMA

    Kwel yaan atuambie hiyo anajua yeye tyu
  3. yongpal

    Fursa ya biashara kwa wenye mitaji kuanzia 50,000

    Weaving vipi nazo mnaweza mkazileta
  4. yongpal

    Mashamba ya korosho mkoa wa Lindi

    Mkuu mimi nataka mashamba ambayo hayana mikorosho nianze kupambana mwenyewe kutoka kufyeka mpka kupanda miche. Maana hiyo iliyopandwa tayari nadhani ishatumika kama ulivyosema imeshazeeka mingi yao.
  5. yongpal

    Mashamba ya korosho mkoa wa Lindi

    Habarini za leo wana Jamii Forums Nilikuwa napenda kuuliza mashamba ya korosho kwa mkoa wa Lindi upatikanaji wake umekaaje na vipi gharama za kununua eneo la hekari moja. Msaada tafadhali kwa mwenye ufahamu juu ya hili.
  6. yongpal

    Gharama za kununua mashamba ya miti ya mbao

    Huko sihitaji ni mikoa miwili tu Njombe na Iringa basi.
  7. yongpal

    Gharama za kununua mashamba ya miti ya mbao

    Habari za mchana ndugu wana JF Nilikuwa napenda kuuliza kuhusiana na gharama za mashamba ya miti ya mbao kwa mikoa ya Iringa na Njomba hekari moja yenye miti yenye umri wa miaka mitatu mpaka minne kwa hivi sasa inaweza ikawa imefikia shilingi ngapi?
  8. yongpal

    msaada wa mawazo wapendwa

    Daa Sawa mkuu
  9. yongpal

    msaada wa mawazo wapendwa

    Unayajua matokeo yangu ww
  10. yongpal

    msaada wa mawazo wapendwa

    Matokeo yetu ni mabaya sana
  11. yongpal

    msaada wa mawazo wapendwa

    Habarini za mida ndugu zangu ,, tumaini langu haujambo na mnaendelea vyema na utendaji Wa ujenzi Wa taifa letu . wakuu naomba kuuliza juu ya hizi kozi mbili za afya ambayo ni clinical medicine na nursing and midwifery , kwan kuna utata nakuona kupitia guidebook ya 2018/2019 qualifications za...
  12. yongpal

    Ku apply nacte kozi za uuguzi government colleges kunaanza lipi?

    Some wapi hiyo mzee baba umepotea kinouma nouma
  13. yongpal

    Msaada kuhusu chuo cha mifugo

    Daa mkuu physics na math alipata zote F hizi kwan hawez kusoma mining pasipo hizo credit
Back
Top Bottom