Recent content by Yona joseph

  1. Y

    Kama umechaguliwa Ndanda Boys soma hapa

    Dah,nilimaliza hapo 2009,shule ipo poa kimiundo mbinu
  2. Y

    Kabila la Kiiraqw laweza kupotea kabisa Tanzania

    Mbona majina mengi ya maeneo uliyoyataja ni majina ya kimang'ati?
  3. Y

    Ombeni Sefue (OS), ombea haya yasikukute na wewe

    Alikuwa na kiherehere sana,yaani utadhani hakuwepo kipindi cha jk
  4. Y

    Case study: Waliosoma english medium ni "wazuri" kuliko waliosoma shule za kawaida

    Hizo fikra zako ni za kikoloni,hamasisha matumizi ya lugha ya taifa,siyo kiingereza
  5. Y

    Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

    hamna lolote nyinyi,mtatoka,mtarudi
  6. Y

    Kigwangalla: Mbowe mjinga, mpuuzi, ametia aibu na kushikishwa adabu...!

    Simfahamu ila kaongea ukweli kuhusu huyo Mbowe
  7. Y

    Kigwangalla: Mbowe mjinga, mpuuzi, ametia aibu na kushikishwa adabu...!

    Good,mbowe ni ---- tu,kuna majembe kama zito,mnyika,na wengine kama machali
  8. Y

    Kigwangalla: Mbowe mjinga, mpuuzi, ametia aibu na kushikishwa adabu...!

    yote ni ukweli mtupu kasoro hiyo ya uchaga
  9. Y

    Barua toka kwa mtahiniwa form 4

    This is pretending,
  10. Y

    Waalimu wanasabisha wenyewe wadharauliwe!!

    hayo ndiyo mawazo ya mbongo,we uliyeandika post hii unafikiria kwa kutumia makalio
  11. Y

    Ajira za Walimu kutangazwa leo.

    mh! sidhani,hawaaminiki hawa
  12. Y

    Mkuu wa Mkoa wa Pwani SIMUELEWI

    acha iwe fundishe kwa hao,kwani shuleni walikwenda kusoma ukristu na uislamu? isitoshe serikali yetu haina dini,kwanini wao walete maswala ya dini shuleni?
  13. Y

    Hivi ni Kweli Wizara Haijaweka majina ya walioajiriwa Kwa Mtandao?

    acheni kuchonga sana,wote hamjui ukweli,anayejua ukweli ni kawambwa na team yake
Back
Top Bottom