Mkalawile? Huyu mbona nilisikia alitangulia. Huyu mimi namkumbuka mwalimu wa Kiswahili alikua kutoka Ndanda hapo ndo kwao. Lakini enzi hizo alikua anagundisha sisi pale Mtwara Tech ila ni muda sana yaani 1995. Sasa nilisikia alihamia kibaha mapema miaka ya 2000,lakini nikasikia tetesi ya kuwa alitangulia. Labda ni yeye au majina tu yamefanan!Vichwa muhimu... Pale kuna babu anaitwa mkalawile... Wale wa kiswahili watakutana nae huyu
Hadi mwaka 2013 mkalawile alikuwa ndanda mkuuMkalawile? Huyu mbona nilisikia alitangulia. Huyu mimi namkumbuka mwalimu wa Kiswahili alikua kutoka Ndanda hapo ndo kwao. Lakini enzi hizo alikua anagundisha sisi pale Mtwara ila ni muda sana yaani 1995. Sasa nilisikia alihamia kibaha mapema miaka ya 2000,lakini nikasikia tetesi ya kuwa alitangulia. Labda ni yeye au majina tu yamefanan!
Majina labda mkuu... Mimi nimemaliza Ndanda 2011.. Mkalawile alikuwepo juz juz tu mwaka 2015 nilifuata chet alikuwepo mkuu...Mkalawile? Huyu mbona nilisikia alitangulia. Huyu mimi namkumbuka mwalimu wa Kiswahili alikua kutoka Ndanda hapo ndo kwao. Lakini enzi hizo alikua anagundisha sisi pale Mtwara ila ni muda sana yaani 1995. Sasa nilisikia alihamia kibaha mapema miaka ya 2000,lakini nikasikia tetesi ya kuwa alitangulia. Labda ni yeye au majina tu yamefanan!
Hilo jibo la ndanda lilikuwa la kibabe kinoma.... Vilembwe na vilembwekezeMkuu namalizia....Naaaaaa walimuuuuu wetuuuuuu wadumuuuuu milele....nasi wanafunzi tufanikiwa ktk malengo yetu.......Hapo lulikila ama marehemu Sowani anakuja kutoka ofisin lazima SAUTI ipande juu kuonesha tuko busy na wimbo
Dah mpemba amefariki.. R.I.P jamaa alikuwa vituko sana na lafudhi yake ya kipemba..R. I. P mpemba wa geography
hahaha na zile kengele....!!!Chepo daah 2013 niliiachaHivi ile Chepo bado ipo? Nakumbuka sana ile saa ya pale church, ni alarm tosha.
Chepo, alarm, na vinanda vya kanisa kama kawaHivi ile Chepo bado ipo? Nakumbuka sana ile saa ya pale church, ni alarm tosha.