Unafurahisha mkuu ,kwenye uzi nimemuongelea Ridhiwani watu wamfanyie judgement kutokana na perfomance anayoleta na sio ridhiwani tu hata mtu yoyote ahukumiwe kwa matendo yake,unachotaka kusema wewe mtu yoyote mwenye vinasaba vya uongozi hapaswi kuwa kiongozi ? Je Mwingine akitokea akisema kama...
Hizi dini mbaya sana tumche sana Mungu lakini tusiwe invested sana kwenye dini , Muweka mada kwa namna nakupinga kihistoria watu wa kwanza wenye maarifa mengi zaid walitoka Egypt lakini pia hata sasa nchi nyingi sana za kiarabu zimepiga hatua kuonyesha namna gani wanaweza kutumia resources na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.