Recent content by Yohimbine

  1. Yohimbine

    Mbunge Babu Tale, Ya Msingi Huyawezi Kama Mbunge ila Haya ya Hovyo?

    Mwendazake alitukosea sana 2020
  2. Yohimbine

    Ridhiwani Kikwete hastahili kuwa kiongozi?

    Unafurahisha mkuu ,kwenye uzi nimemuongelea Ridhiwani watu wamfanyie judgement kutokana na perfomance anayoleta na sio ridhiwani tu hata mtu yoyote ahukumiwe kwa matendo yake,unachotaka kusema wewe mtu yoyote mwenye vinasaba vya uongozi hapaswi kuwa kiongozi ? Je Mwingine akitokea akisema kama...
  3. Yohimbine

    Gari la UN lapata ajali likiwa limebeba madini

    Stop misinformation this picture was taken in the previous decade
  4. Yohimbine

    Tabia ya ku ghost mtu kwenye relationship

    Mimi naamini njia bora na nzuri kwenye mahusiano ni Communications,ukielewa namna bora ya kuzungumza na mwenzako itasolve vingi sana
  5. Yohimbine

    Nimekosana na rafiki yangu baada ya kumdai pesa niliyomkopesha

    Ili kufumisha urafiki kopesha kiwango ambacho upo tayari kupoteza
  6. Yohimbine

    Nimeruhusiwa Hospitali ya Milembe

    Vipi mkuu zile milioni tano za jana ulitoka nazo mirembe ama?
  7. Yohimbine

    Imekula kwako kama mke wako ana Makundi ya Mashosti

    Mpaka unaamua kuoa mwanamke ambaye ana marafiki wa aina ya kusimanga watu na umbea wewe mwenyewe ulijiandaa kisaikolojia
  8. Yohimbine

    Uislam haupo kwenye Dunia, upo kwa ajili ya nje ya uhai

    Hizi dini mbaya sana tumche sana Mungu lakini tusiwe invested sana kwenye dini , Muweka mada kwa namna nakupinga kihistoria watu wa kwanza wenye maarifa mengi zaid walitoka Egypt lakini pia hata sasa nchi nyingi sana za kiarabu zimepiga hatua kuonyesha namna gani wanaweza kutumia resources na...
  9. Yohimbine

    Mke wangu anaishi maisha ya ki-tamthilia, yananitesa haswa

    Mtafutie msaidizi wa kumsaidia majukumu yake ya kike atabadilika tu
  10. Yohimbine

    Kama nchi tumefeli kwenye Ufunguzi wa African Football League

    Hapo mahali nimequote nimekuwekea na fungua semi na funga semi au huyo si wewe?
  11. Yohimbine

    Alex Ngereza: Al ahly watapasuliwa za kutosha na Yanga Kwa mkapa

    Betri langu la simu linakaa na chaji mda mrefu kuliko seli zako za kwenye ubongo
Back
Top Bottom