Wakati Jeshi letu linabuni mapato kwa kujenga Frame ,Wenzetu wanatumia Majeshi yao kwa tafiti kubwa za kisayansi ,wanafadhili research mbalimbali za uvumbuzi , wanatengeneza chanjo na ugunduzi mwengine unaosaidia binadamu, kwetu jeshi linapambana na Raia kwenye vitega uchumi halafu utasikia mtu...
Kwanini Matajiri wanajiingiza kwenye Siasa ? Siasa ni Maisha.Inahitajika tu kubalance ni Mpumbavu pekee anaweza kuwaza siasa hazina Mchango maishani mwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.