Hapo sasa Ina maana ajira zitakuwa hazina usawa sio merit based bali zitakuwa time based Kwamba aliewahi kumaliza shule anawahi kazini kwanza hata kama anayefata ana uwezo mkubwa dhidi yake, wapewe priority waliowahi kumaliza sawa lakini sio hivyo 100%.
Kila mtu ana kiwango chake cha ustahimilivu , Nimefanya kazi na huyo jamaa kwanza ni very humble na mpole sana pamoja na kukupita Kila kitu hadi dhambi anatenga muda na kukusikiliza pia anarekebishika ,Kuna nyuma ya pazia wanalofahamu wahusika wao tu wawili likaleta haya yote.
Wakati Jeshi letu linabuni mapato kwa kujenga Frame ,Wenzetu wanatumia Majeshi yao kwa tafiti kubwa za kisayansi ,wanafadhili research mbalimbali za uvumbuzi , wanatengeneza chanjo na ugunduzi mwengine unaosaidia binadamu, kwetu jeshi linapambana na Raia kwenye vitega uchumi halafu utasikia mtu...
Kwanini Matajiri wanajiingiza kwenye Siasa ? Siasa ni Maisha.Inahitajika tu kubalance ni Mpumbavu pekee anaweza kuwaza siasa hazina Mchango maishani mwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.