Wakuu,
Ushabiki kwenye masuala ya msingi kama hili la mahusiano na majirani zetu ni hatari sana. Nafikiri tunakosea sana kufufikiri kuwa Rais lazima aungwe mkono kwa kila jambo dhidi ya Watu wa nje. Ipo mifano marais walioangamiza mataifa yao. Haiingii akilini kuwa majirani wetu wote ni...
Wakuu,
Ili uweze kutoa kauli Kama hiyo ni lazima uwe umeathirika sana na madawa ya kulevya au bang.Hivi kina Aricado Ntagazwa ambao walikuwa mawaziri wanawachukuliaje.
Wakuu,
Tuache jazba na ushabiki ktk suala hili kwa kuwa linaweza kutupeleka ktk vita hata Kama itadumu kwa siku moja bado madhara yake ni makubwa na ya muda mrefu. Ukweli Rais wetu amekosea. Kwa suala sensitive kama la migogoro ya Rwanda ambayo imesababisha vifo vya zaidi ya Watu 1,000,000...
Wakuu,
Huyu mama amekumbuka shuka mapambazuko, haipo tena nafasi ya kuwadanganya watu WA Tabora. Lakini kubwa aache ubaguzi eti majimbo ya wapinzani!!!!kana kwamba wapinzani si watanzania, wako katika NCHI yao nyingine, kweli akili ni ndogo.:shock::shock:
Wakuu,
Hivi ni mikutano ya vyama vya siasa tu inayolindwa? Hizo hadithi za polisi kuwa walipuaji walitokea nyuma zinaonyesha nini? Hivi jeshi letu ni kureact tu haliwezi kuanza jambo na kuzuia?
Wakuu,
Debe tupu haliachi kuvuma sasa UDP imefikia mwisho. Hivi chama cha John Cheyo mwenyekiti WA kudumu na Mdogo wake Isack Cheyo kaimu wa KILA kitu kinaweza kuwavutia maskini WA Mungu watu wa Simiyu?!!!!Piliton acha upimbi.
Hive hue usanii na ubabaishaji utaisha lini? Huoni mashangingi anayotempbelea January hapo pembeni? Kwanza Bamako yenyewe mpya labda ndio anaanza KUTUMIA lakini lamsingi zaidi ni unataka ku justify matumizi ya bajaji? Hatuwezii kurudi nyuma kiasi hicho your thinking is very primitive.
Wakuu na huyo wa kwanza Kushoto ni Lusin
de? Kama ni yeye basi hii hiyo safari ni ya washikaji tu. Si uhakika Kama anao uwezo wa kutoa pole kwa kingereza!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.