Maisha ni mchezo wa kufa na kupona.
Hakuna kitu salama hapa duniani.
Kimsingi maisha yako hayana usalama hata kidogo
Hisia zako tu ndo zinakudanganya uko salama.
Kama ingekuwa ni hivyo basi kusingekuwa na bodaboda sababu hakuna anayependa kufa.
Binafsi napenda kukimbia. Huwa nakimbia u mbali wa km 15 kwa mda wa dakika 54 paka lisaa ivi. Najihis vizur kweli.
Mwanzo magoti yalikua yanauma sana na kifua kilikuwa kina bana sana ila saiv nimezoea. Siku 3 kila wiki
P
Pengine hujamwelewa. Osama kulala ni kwa sababu huyo dada anafanya biashara hiyo. Alitegemea atapata ugumu kumpata ila cha kushangaza anapewa bei elekezI moja kwa moja
Ukipost tu point kakamavu kama hii nakupiga Kongole. KONGOLE KUBWA KWAKO MKUU. Tujifunze na tubadilike wanaume, familia zetu zinaishi maisha ya dhiki kwa sababu ya tamaa zetu za kijinga, kama tulijua hatuwezi acha uzinzi, basi tulipaswa tusianzishe familia ambazo kwa sababu yetu katika hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.