Nazir Karamagi na Yogesh Manek watafanikiwa kuendelea kuinyonya Tanzania kupitia bandari ya DSM?
Na Juma Kambi, Kuli Bandarini DSM
Wawili hawa ni wamiliki wa kampuni ya kusimamia makontena katika bandari ya Dar (TICTS).Kwa miaka mingi wamekuwa wakipokea mabilioni ya fedha huku utendaji wa...
Bei za mafuta na bei za bidhaa za viwanda vya nchi zilizoendelea zimepanda sana katika kipindi cha miaka kumi iliyopita. Tanzania sasa inawajibika kutumia asilimia sitini ya mapato yake yote ya fedha za kigeni kununulia mafuta ambapo mwaka 1972 ilitumia asilimia kumi ya fedha za kigeni kununua...
Sasa, bei za mafuta na bei za bidhaa za viwanda vya nchi zilizoendelea
zimepanda sana katika kipindi cha miaka kumi iliyopita. Tanzania sasa
inawajibika kutumia asilimia sitini ya mapato yake yote ya fedha za kigeni
kununulia mafuta ambapo mwaka 1972 ilitumia asilimia kumi ya fedha za kigeni...
Hizi ni porojo mjomba......Huko nje ni America tu tena ya kusini vipi mabara mengine sita ukiondoa Africa n yenyewe yako hivyo au ujuaji ni mwingi kwa habari za magazeti .......je USA ina marais wangapi mpaka sasa unazijua record zao,vipi hao makamu wa Rais waliopata Urais baada ya Rais kuuwawa...
Ni simulizi nzuri kwako umejitahidi kumfanya Kambona wako awe bora lakini sijaona ubora wake......Huyu aliyeapa kuilinda na kuitetea katiba ya Tanganyika.na Tanzania alikufa kwa uchu wa madaraka na ubinafsi..Alikosa Uzalendo kwa Taifa lake akishirikiana na wahuni wachache wakati huo tunawezaje...
Wakolosai 3:18-19
[18]Ninyi wake, watiini waume zenu, kama ipendezavyo katika Bwana.
Wives, submit yourselves unto your own husbands, as it is fit in the Lord.
[19]Ninyi waume, wapendeni wake zenu msiwe na uchungu nao.
Husbands, love your wives, and be not bitter against them.
Mathayo 5:31-32
[31]Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;
It hath been said, Whosoever shall put away his wife, let him give her a writing of divorcement:
[32]lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu...
Hivi mnafuatilia kesi lakini......Je kwenye sheria zetu ni sheria gani inasema ukiomba msamaha tu kesi inaisha? ......vipi kuhusu muda na rasilimali zilizotumika gharama yake ataibeba nani?serikali ama Ndugu Mbowe.....Kuomba msamaha ni kukiri kosa kama nitakuwa nimekuelewa Ndugu MBOWE anapaswa...
Madeni aliyatengeneza kwa kuzingatia kipo chanzo cha kipato ambacho ni mshahara kutokana na kazi yake ya ualimu kama alikosa nidhamu wangefanyeje.....TSC walimpatia adhabu ya kumshusha cheo baada ya maonyo kadhaa pia kwa kuzingatia maadili ya viongozi/watumishi wa Umma....watanzania tusiwe...
Tatizo sio takwimu Boss hapa tatizo ni Mazingira bora ndani ya mfumo serikalini kwa waliofaulu na waliofeli hayako sawa?au mazingira kwa wazazi ni magumu ama wameiachia serikali kubeba majukumu yote na wazazi kujiona hawana jukumu lolote....kingine vijana wanapaswa kujua wao ndio wajenzi wa...
Nimekuelewa sana Nini kifanyike ili watu tufahamu wazalendo ndani ya Taifa kisiasa na wababaishaji kisiasa Ili kuweza kutofautisha propaganda na taarifa za kujadili katika makundi haya Manne....?
Kwani Agenda za Watanzania zinasababishwa na Katiba Je Nini kifanyike ikiwa hakuna mchakato wa katiba kwa sasa..Au ni ubabaishaji kisiasa kwa viongozi wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.