Kama haja yako ni kujua basi tumekuwekea elimu hapo soma na bila Shaka utafahamu maana ya Aya na si kama ulivyoileta.
Surat Muhammad – Aya ya 7
Arabic:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِن تَنصُرُوا اللَّهَ يَنصُرْكُمْ وَيُثَبِّتْ أَقْدَامَكُمْ
Tafsiri ya Kiswahili Sahihi:
Enyi mlioamini...
Tuwaamshe Kwa kweli hili Jambo linamfanya mkulima anakuwa Masikini kila siku. MADALALI hawana uchungu na mali za mkulima hata kidogo ona hapo ndizi zimeoza wamegoma kushusha bei basi wangetoa hata sadaka Tu lkn MADALALI wamekomaa sana
Mimi ninauza genge la mboga mboga na matunda.Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa biashara katika masoko ya jijini Dar es salaam kama Mabibo, Buguruni, Temeke, Stereo na Ilala.
Katika masoko yote haya hakuna mkulima anaruhusiwa kuuza BIDHAA zake sokoni. Mzigo unapofika sokoni...
Muda wenyewe mchache Sana nadhani halifiki hata saa moja nadhani linavumilika ! Kinachotokea ni kwamba msikiti unakuwa hautoshi,hivyo watu hulazimika kutumia barabara Kufanya ibada hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.