Recent content by yoeza

  1. Y

    Lema na kundi lake wanatafuta kura za huruma

    Apige asipige Arusha usitamke neno zaidi ya chadema potezea
  2. Y

    Lema anasambaza vipeperushi vya kuomba kura! Maajabu!

    Kwani anaomba nini Kama sio kura? Hapa ni chadema tu usiongee neno jingine Arusha
  3. Y

    Mtaa MZIMA Wamagufulika

    Magufuli ni wakuongozwa sio wakuongoza na Kama Mnabisha akishinda mtaona watanzania msioelewa mnakuja kuwa washabiki halafu walio wengi wanateseka kwa masilahi yenu
  4. Y

    CCM yafuta upinzani Tanzania

    Utajuta tarehe 25 utakapo ona CCm yako ikifia Mbali na yawezekana wapendwa mnaopenda CCm mnamasilahi yenu hapo au wazazi wenu maanake siamini Kama maisha yalivyo toka miaka kumi iliyopita halafu bado mnawataka Hawa CCm? Shame Mna masilahi ?!!!!!!!'nn
  5. Y

    Kauli ya Mbowe ilaaniwe na wapenda amani

    Hivi ni kweli hakuna Sheri'a ya kuruhusu kukaa Mita Mia mbili? Maanake usikute ipo ila serikali ndiyo inajichanganya?
  6. Y

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa, Musoma mjini - Oktoba 11, 2015

    Kwani vijana hata Kama ni walewi hawapig kura!!!!!?
  7. Y

    NAPE: Kuondoka kwa Mzee Kingunge Chama kimepata ahueni

    Acha unafikiiiiiiiiiii unataka nilie yaan huyu huyu alikuja kumnadi lowasa akitafuta tickets ya CCm je huku mwona au ulikuwa haujazaliwa funga mdomo ona aibu maanake akiwa kwenu ulimpenda sasa akiwa nje unamdharau ni no no no
  8. Y

    Kauli ya Mwl. Nyerere ilishafuta ndoto za kisiasa za Edward Lowassa!

    Nyerere hakuwa Mungu tafadhali sana mheshimun mungu
  9. Y

    Lissu, Mnyika, Lema na wenzao 'wamepotea'

    Sasa mwanangu akiamka asubuhi anasema baba CCm wamekataa umeme na ni mtoto wa miaka miwil kasoro shame sana badiliken I ambie serikali yako hivi ukileta umeme saa Saba usiku na kuukata saa kumi na mbili asubuhi ni busara kweli nani a nafanyaga kazi na huo umeme mda huo mwenye saloon no mwenye...
  10. Y

    Lissu, Mnyika, Lema na wenzao 'wamepotea'

    Hata ukileta jiwe sisi A town ni bora tulipigie kura kuliko CCm yenu
  11. Y

    Lissu, Mnyika, Lema na wenzao 'wamepotea'

    Umekosea sana ukisema Lema harudi mjengoni njoo A town tukuambie habari ya mjini
  12. Y

    Kaskazini mabadiliko ni porojo tupu wananchi 80% wanaipenda CCM

    Mwambien Aache kuongelea swala la Utalii huko hapatikani hata kura moja yaan watu hawamtaki kaabisa
  13. Y

    Yaliyojiri Jijini Arusha: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dk. Magufuli – Oktoba 6, 2015

    Yaaaan hajui tuko hapa uwanjan tunamcheka tu na tuko na vichinjio mfukon
  14. Y

    Yaliyojiri Jijini Arusha: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dk. Magufuli – Oktoba 6, 2015

    Kweli mmepotea njia sio hapa Arusha labda pengine hapa hata Diwali ham pati na wengi walikuja kuona wana mziki na niwa ukawa wamevaa yeboyebo
Back
Top Bottom